WanaJF!!
Hv ni kweli tatizo la kuanza kufanya ujasiriamali baada ya ajira kuota mbawa ni mtaji ama kukosekana kwa wazo viable la kijasiriamali!!
Naomba tujuzane kwa kadri ya mtazamo wa mtu!!
Naamini kuna watu watakomboleka kwa michango ya wanajf hasa kipindi hk cha ajira mizunguo!!
Shukran!!
Hv ni kweli tatizo la kuanza kufanya ujasiriamali baada ya ajira kuota mbawa ni mtaji ama kukosekana kwa wazo viable la kijasiriamali!!
Naomba tujuzane kwa kadri ya mtazamo wa mtu!!
Naamini kuna watu watakomboleka kwa michango ya wanajf hasa kipindi hk cha ajira mizunguo!!
Shukran!!