mimi nna mchumba ambaye kanizidi elimu yeye ana shahada na mimi nna stashahada,wana jf naomba ushuri wenu je?kuna tatizo nikimuoa kwa kuwa amenizidi elimu?
mimi nna mchumba ambaye kanizidi elimu yeye ana shahada na mimi nna stashahada,wana jf naomba ushuri wenu je?kuna tatizo nikimuoa kwa kuwa amenizidi elimu?
Usitake kutawaliwa na inferiority complex my brother,ukiiruhusu tu hiyo umepotea...mnaweza mkaoana bila matatizo. Kinacho matter ni uzito wa penzi lenu baaasi! Hakuna kingine...