Hvi wanaume wanaakili gani???



Tatizo sio habari husika tatizo ni ku-generalize kwa kusema WANAUME WANAAKILI GANI coz anatugusa hata sisi tusiohusika, angetakiwa aseme BAADHI YA WANAUME WANA AKILI GANI
 
Akili zipi hizo tena za kuwapenda wanawake???

Mnamng'ang'ania nini dada wa watu, anataka aishi siku nyingi zaidi. Si nasikia ukifanya sana hayo mambo ukiwa umeathirika ugonjwa unaongezeka. Sio wewe nimekuvalisha uhusika tu!!
 
Nina hamu ya kukoment hapa ila nikifungua tu napigwa ban ngoja ninyamaze kwanza
Du Maty umekuja kivingine hapo sasa avatar yako kali, ile ya kushare na Suzy achana nayo, ww hapa comment tu km Ban tumezowea kuna siku watatufuta kabisa lakini huyu mwenzako mm namtafuta kwani mwenye VVU hana matamanio? na kinga kibao zipo, kwani ntamjaribu kula chumvini au halafu nampeleka Bukoba mpaka hatanisahau humu jamvini
 
Sema best!! Wanaume kwa nini wana akili za hivi??

down stairs kukiwa kumechachamaa upstairs kunalala, vivyo vivyo upstairs kukiwa kumechachamaa downstairs hakuna habari
 
Mnamng'ang'ania nini dada wa watu, anataka aishi siku nyingi zaidi. Si nasikia ukifanya sana hayo mambo ukiwa umeathirika ugonjwa unaongezeka. Sio wewe nimekuvalisha uhusika tu!!
:laugh::laugh:JAMENI SI ANAONYESHWA UPENDO WA AGAPE AU HAHITAJI KUPENDWA NA YEYE
 
down stairs kukiwa kumechachamaa upstairs kunalala, vivyo vivyo upstairs kukiwa kumechachamaa downstairs hakuna habari
Maty UNAJUAJE KAMA UKO ULIKOKUSEMA KUNACHACHAMAA????
 

Angekua mbaya wangemng'ang'ania? cheusi mangala alitoa mdada wa watu anatafuta mchumba wababa walimrukaje? yaani pale hajasema ana ukimwi je angesema ana ukimwi ingekuaje. Hata hivyo tumeshawazoea kila mtu anamaamuzi yake bana. Halafu we ukwaju badilisha id maana sisi wajawepesi tunaanza kukutamani sasa
 
Tatizo sio habari husika tatizo ni ku-generalize kwa kusema WANAUME WANAAKILI GANI coz anatugusa hata sisi tusiohusika, angetakiwa aseme BAADHI YA WANAUME WANA AKILI GANI

Asilimia 99.9 ya wamaume wanatanguliza tamaa mbele wakishafanya ndo wanapata mawazo. Au ndo maana wakasema majuto mjukuu???:twitch:
 
Aaache uchoyo huyo Dada kwani si kuna kinga...watumie kinga watu wakate kiu yao....Kuwa na ukimwi ndio iwe nongwa huo nao ni unyanyapaa dhidi ya watuwasiona virusi vya ukimwi.

duh!!!!!!!!!
 
Hahahaaaaaa habari senyu binafsi ukichachamaa huko habari yenu kwishney, mungu ni wa ajabu sana

naona maty umebadilisha avatar yako,
baada ya susy kuichakachua!!!!!!
hongera!!!!!!!!
 
Asilimia 99.9 ya wamaume wanatanguliza tamaa mbele wakishafanya ndo wanapata mawazo. Au ndo maana wakasema majuto mjukuu???:twitch:

Na wasioendaga kusali/kuswali muanze wiki hii mkimshukuru mungu ile shughuli ikizidi sana nusu saa tu umesharudi kwenye normal sense. ingekua inachukua siku tatu sijui ingekuaje mwe?
 
Na wasioendaga kusali/kuswali muanze wiki hii mkimshukuru mungu ile shughuli ikizidi sana nusu saa tu umesharudi kwenye normal sense. ingekua inachukua siku tatu sijui ingekuaje mwe?


Maty kumbuka kuwa nusu saa sio applicable kwa wote,
wengine wanahitaji mpaka dakika za nyongeza!!!!!!!!lol...
 

Hivi kumbe wanaume tu ndio huwa wanakubali kuambukizwa ukimwi.
Halafu wewe mleta mada naomaba nikuambie sisi wanaume wa dar hatuko hivyo. Ningeomba hiyo heading iseme ni wanaume wa eneo gani? Unavyoniweka na mimi( MLACHAKE) kwenye kundi la hao wanaume wanaomlamba huyu dada Ilhali ana Ngoma utakua haujanitendea haki.
Binafsi nisikie fununu tu kuwa Demu fulani ana Ngoma, Hata kwa kinga ya aina gani siwezi mlamba.
Jaribu kuwaomba mods wakusaidie kubadili heading!!
Hivi ukisikia mimi nina ngoma halafu nikuombe kwa kukuahidi nitatumia kinga utakubali?
 
down stairs kukiwa kumechachamaa upstairs kunalala, vivyo vivyo upstairs kukiwa kumechachamaa downstairs hakuna habari

:clap2:
In short, mwili na akili zao havina mawasiliano. Bora umenena.
 
:laugh::laugh:JAMENI SI ANAONYESHWA UPENDO WA AGAPE AU HAHITAJI KUPENDWA NA YEYE

Upendo wa Agape hapo uko wapi!! Washindwe kabisa!! Hilo sio tusi lakini!! Kama wanampenda wampe chakula, matunda na vitu vya kumuongezea afya ili aishi siku nyingi zaidi, na wamsaidie atimize malengo yake. Wanamtamani tu wamuue mapema hawa.

Craps!!!
 
Asilimia 99.9 ya wamaume wanatanguliza tamaa mbele wakishafanya ndo wanapata mawazo. Au ndo maana wakasema majuto mjukuu???:twitch:

Sio kweli, hivi unaongea kwa kuwafahamu wanaume wote au umeamua tu kutusiliba leo? Mimi unanifahamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…