Umenifurahisha sana......watu wawe wanakubali madhaifu kama ww laaziz,ndo mwanzo wa kusaidika ati.....niko home njoo karibu chai!!!
Eehh mara hii ameshakuwa dia? acha uongo wewe.
Hizi lugha unazotumia duh..........inaonekana kama vile tayari umekoleaaaaaaa hahahahaha
Wanaume wana akili ya wanaume:sad::sad::sad:Jamani, hapa kwetu kuna mdada mmoja ni mgonjwa na anatumia dawa za kuongeza siku (ARV's) tena kwa muda mrefu sana sasa tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000, na yupo wazi kabisa tena hafichi anasema kabisa kuwa yeye ni HIV +. Cha ajabu, kwa kuwa yule dada ni mzuri sana kwa sura na umbo, wanaume wanamfuata sana, hata waume za watu wamo. Dada anawaambia kuwa ameathirika lakini hawaamini, wanamng'ang'ania tu, hadi anaona kero, na hayupo tayari kumwambukiza mtu mwingine HIV kwa makusudi.
Swali langu ni kwamba, kwanini wanaume hawaamini na kumwacha? Kunawengine wanadai eti ni gear yake tu ya kukataa wanaume, sas asemeje ili muweze kuelewa kuwa anaishi kwa ARV's? Mnataka kuambukizwa?:thinking::thinking::thinking:
Yaani hapo tu...........unajua nimependa pia kuwa huwa unaiambia kadamnasi ukweli, ila sasa nikikuudhi uwe unaniambia mimi tu, Mwenzio LD hapo anaona wivu balaa. Ngoja niiwahi hiyo chai basi😛lane::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:Umenifurahisha sana......watu wawe wanakubali madhaifu kama ww laaziz,ndo mwanzo wa kusaidika ati.....niko home njoo karibu chai!!!
Kaka mkubwa ahaaaaaaaaa hiyo achia sisi wadogo bana, unataka kuchakachua mapema namna hiiMichelle nimekumiss sana
Michelle nakutamani sana
Michelle nakupenda sana
Michele nakuzimikia sana
Hebu njoo kule tuongee umbea kidogo.
Yaani hapo tu...........unajua nimependa pia kuwa huwa unaiambia kadamnasi ukweli, ila sasa nikikuudhi uwe unaniambia mimi tu, Mwenzio LD hapo anaona wivu balaa. Ngoja niiwahi hiyo chai basi😛lane::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
Mimi nimesoma chini ya mistari lolPole mwaya ila umesahau tu kusoma katikati ya mstari!! Mzima lakini?? Eti kwa nini akili za wanaume ziko hivi?
Usijali ngoja niku-PM tuongee vizuri(Chelle dear hii potezea tu)Wivu sina ila roho inauma eeh eeh!!
Wivu sina!! Ila roho inauma!!!
Usijali ngoja niku-PM tuongee vizuri(Chelle dear hii potezea tu)
Mimi nimesoma chini ya mistari lol
Imejaa????!!!!!!!!!!!!! hivi huwa zinajaa???Mmmmm PM yangu imejaa!! Haina nafasi kwa sasa jaribu tena baadae!!
Mmmmm PM yangu imejaa!! Haina nafasi kwa sasa jaribu tena baadae!!
Usiache mbachao kwa msala upitao LD
Imejaa????!!!!!!!!!!!!! hivi huwa zinajaa???
Yaani hapo tu...........unajua nimependa pia kuwa huwa unaiambia kadamnasi ukweli, ila sasa nikikuudhi uwe unaniambia mimi tu, Mwenzio LD hapo anaona wivu balaa. Ngoja niiwahi hiyo chai basi😛lane::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
LD ni dada yangu,kwaheri........!!!! hivi wanaume waga mna akili gani???
Hebu watuambie huwaga wana akili gani hawa viumbe jamani.
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::msela::msela::msela:LD ni dada yangu,kwaheri........!!!! hivi wanaume waga mna akili gani???