Hvi wanaume wanaakili gani???

Umenifurahisha sana......watu wawe wanakubali madhaifu kama ww laaziz,ndo mwanzo wa kusaidika ati.....niko home njoo karibu chai!!!

Michelle nimekumiss sana
Michelle nakutamani sana
Michelle nakupenda sana
Michele nakuzimikia sana

Hebu njoo kule tuongee umbea kidogo.
 
Hizi lugha unazotumia duh..........inaonekana kama vile tayari umekoleaaaaaaa hahahahaha

Pole mwaya ila umesahau tu kusoma katikati ya mstari!! Mzima lakini?? Eti kwa nini akili za wanaume ziko hivi?
 
Wanaume wana akili ya wanaume
 
Umenifurahisha sana......watu wawe wanakubali madhaifu kama ww laaziz,ndo mwanzo wa kusaidika ati.....niko home njoo karibu chai!!!
Yaani hapo tu...........unajua nimependa pia kuwa huwa unaiambia kadamnasi ukweli, ila sasa nikikuudhi uwe unaniambia mimi tu, Mwenzio LD hapo anaona wivu balaa. Ngoja niiwahi hiyo chai basi😛lane::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
 
Michelle nimekumiss sana
Michelle nakutamani sana
Michelle nakupenda sana
Michele nakuzimikia sana

Hebu njoo kule tuongee umbea kidogo.
Kaka mkubwa ahaaaaaaaaa hiyo achia sisi wadogo bana, unataka kuchakachua mapema namna hii
 
Yaani hapo tu...........unajua nimependa pia kuwa huwa unaiambia kadamnasi ukweli, ila sasa nikikuudhi uwe unaniambia mimi tu, Mwenzio LD hapo anaona wivu balaa. Ngoja niiwahi hiyo chai basi😛lane::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Wivu sina ila roho inauma eeh eeh!!
Wivu sina!! Ila roho inauma!!!
 
Yaani hapo tu...........unajua nimependa pia kuwa huwa unaiambia kadamnasi ukweli, ila sasa nikikuudhi uwe unaniambia mimi tu, Mwenzio LD hapo anaona wivu balaa. Ngoja niiwahi hiyo chai basi😛lane::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

LD ni dada yangu,kwaheri........!!!! hivi wanaume waga mna akili gani???
 
Wanaume % kubwa ya hisia ziko huko chini thats y hayo yanatokea. Si vibaya kufanya ngono na mtu aliyeathirika. Cha msingi ni kuwa na tahadhari tu. Huyo dada ina maana tangu ijulikane kaathirika hajawahi kungonoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…