Habari wana JF
Naomba mwenye uwelewa wa jinsi ya kuandaa hydroponic nutrients na kama anaweza nifundisha kidogo niko tayari, nahitaji msaada wenu wa dhati
Habari wana JF
Naomba mwenye uwelewa wa jinsi ya kuandaa hydroponic nutrients na kama anaweza nifundisha kidogo niko tayari, nahitaji msaada wenu wa dhati
kama wewe ni mtu makini nadhani umenipata.....na hapo hujasema unatumia mbegu gani kutengenezea hiyo fodder ndio maana nkawa general na mimi
Kila la kheri