CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Kuna hili swala la Hydroponics Techinology ambapo ni uoteshaji wa mazao bila kutumia udongo na kinacho takiwa ni maji tu na sehemu ya udongo huwekwa virutubisho fulani.
Hii techonolojia inaweza kuwa ni ngeni kwetu ila kwa wenzetu si ngeni make ilikuwepo miaka ya 1929 na William Frederick Gericke wa University of California
Hii techinolojia inaweza tumika kuzalisha
1. Chakula cha kulishia mifugo na hata binadamu
Kwenye eneo la eneo la futi 20 kwa 10 mkulima anaweza zalisha nyasi zaidi ya kilogram 50 kilograms
Hii Techinolojia ni nzuri sana kwa watu wenye eneo dogo hasa wa Mijini kwa sababu eneo la 140 meta lina weza tosha kuweka tray zaidi ya 1800 ambazo zinaweza toa tani 1.2 za majani ya mifugo kwa kutumia maji lita 700-900
FAIDA ZA HII TECHINOLOJIA





Hii techonolojia inaweza kuwa ni ngeni kwetu ila kwa wenzetu si ngeni make ilikuwepo miaka ya 1929 na William Frederick Gericke wa University of California
Hii techinolojia inaweza tumika kuzalisha
1. Chakula cha kulishia mifugo na hata binadamu
Kwenye eneo la eneo la futi 20 kwa 10 mkulima anaweza zalisha nyasi zaidi ya kilogram 50 kilograms
Hii Techinolojia ni nzuri sana kwa watu wenye eneo dogo hasa wa Mijini kwa sababu eneo la 140 meta lina weza tosha kuweka tray zaidi ya 1800 ambazo zinaweza toa tani 1.2 za majani ya mifugo kwa kutumia maji lita 700-900
FAIDA ZA HII TECHINOLOJIA
- Hakuna udongo unaoa hitajika
- Maji yanayo tumika hapa ynaweza tena tumika kwa ishu zingine
- Ni rahisi kuzibit viine lishe
- Iko stable na inatoa virutubisho vingi sana
- Rahisi kuvuna
- Mimea inakuwa vizuri sana
- Ni nzuri kwa biashara


