I am addicted to sex

Status
Not open for further replies.
Nilijua nikiwa na watoto zitapungua, naona zipo vile vile kama nlivokua sweet 18.
 
Nahisi nnavyo vyote


Unahisi? Addiction ni ugonjwa na ni tofauti na kupenda kitu, mwenye addiction hachagui kuwa hivyo na hawezi kusema kwamba ,,anahisi” ana addiction ni sawa na mtumia madawa ya kulevya kusema kwamba anahisi ana addiction ya madawa, hiyo ni condition/ugonjwa ambao kama unao huwezi kusema unahisi kwani unaathiri ubora wa maisha yako.

Na unaweza kuacha kitu unachopenda lkn addiction iko nje ya uwezo wako ni lazima utibiwe.
 
Hahahahahahahah!!!!!
 
Ni kweli
 
ushawahi kumpenda mwanamke mwenzako?
sor kuna mtu alisema alikua anapenda dudu yaani haridhiki na kila dudu kumbe mashetani yake yapo kwa wanawake wenzie ndo roho inatulia.
alikua mrembo sana ila hata umtoomb.. vip haridhiki
 
My dear sidhani kama ni tatizo..ujue kuna wengine wanatamani kua na hali kama yako
 
 
Bonge moja ya contribution.Yan inakuondoa kabisa kwenya mawazo ngono kama mada inavyoshawishi na kukupa fikra flan angavu sana.Big up mkuu Barbarosa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…