I am flying without wings

Binti Magufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
7,479
Reaction score
5,157
Habari zenu wanajamvi? Ni matumaini yangu wote mu wazima na wenye furaha tele.

Niko kwenye mapenzi na mpenzi anayenipenda kwa dhati najisikia raha ya ajabu. Kupendwa ni raha sana hasa unaekupenda akikujulia, ninaweza kusema i am flying without wings, mnaweza kujumuika kufurahi pamoja nami, hata kama ulienae anakupa karaha usijal iko siku utapata wa kukupa raha kama ninazopata mimi.

Muwe na wakati mwema.
 


Hongera zako....wengine wana fly with wings....
 
wote tulianzia huko huko tena tulifly bila ngozi na mifupa mitupusasa tuna manyoya hata kufly tena hatuwezi enjoy kulia kwaja
 
wote tulianzia huko huko tena tulifly bila ngozi na mifupa mitupusasa tuna manyoya hata kufly tena hatuwezi enjoy kulia kwaja

Hahahahahha. . . Smiley bana.Unamharibia mwenzio "honeymoon period " yake ujue.
 
Samahani kwa wale ambao hawaoneshwi mapenzi, najua ni kwa jinsi gani uzi huu unawahuzunisha kwani mnatamani laiti mngelikuwa ninyi, poleni sana. Ila kwa kweli ninaenjoy kupendwa sio siri
 
Samahani kwa wale ambao hawaoneshwi mapenzi, najua ni kwa jinsi gani uzi huu unawahuzunisha kwani mnatamani laiti mngelikuwa ninyi, poleni sana. Ila kwa kweli ninaenjoy kupendwa sio siri
Heheheh. . unarusha madongo ehhhh?
Angalia unaowarushia wasije wakaishia kukucheka siku ukirudi kulilia mapenzi yalivyokutenda.
 
samahani kwa wale ambao hawaoneshwi mapenzi, najua ni kwa jinsi gani uzi huu unawahuzunisha kwani mnatamani laiti mngelikuwa ninyi, poleni sana. Ila kwa kweli ninaenjoy kupendwa sio siri
hatujabisha mrembo enjoy siku ukileta waraka wa kilio hapa tupo kukusaidia pia kamua mwana kamua malavidavi
 
wote huwa wanaanzia kwenye ku fly withouts wings....ishu ni muda gani mtatumia ku fly..!??
 
wote huwa wanaanzia kwenye ku fly withouts wings....ishu ni muda gani mtatumia ku fly..!??

Dada/kaka utumie muda huu unitakie heri mwenzako lakini sio kunipa maneno kama hayo, ukweli nina raha sana isiyoelezeka kwa maneno
 
hongera mwa hego.Ila angalia asikupeleke juu sana kwa maana ukidondoka utaumia sana.i know sana haya mambo
 
bila shaka ni mpenzi mpya huyo.......................kaa mkao wa matanga tho sio leo wala kesho
 
Umenikumbusha kile kisa cha primary, ni kobe na ndege gani wale waliruka pamoja hadi karibu na jua kumbe kobe hana wings isipokuwa manyoya na nta! Hongera dada... enjoy your good-time to the fullest... Wekeni bidii ku-sustain huo utamu... Hebu subiri kwanza hivi hiyo ni halali au mko kimjinimjini zaidi?! Kama ni kimjinimjini nirudishie wishes zangu nzuri nilizokumiminia lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…