I am getting married

Haaah Homeboy huyu Next Level inabidi tumuweke kitimoto for real are u sure hajakwambia?....anyways ile issue yetu bana me i am game...unakumbuka what we talked about a while back si unajua mjomba wameshamuangusha?

I'm happy tumeyamaliza chemba....LOL!
 

Haya dada etu, ndauli ndauli.
Hongera umepata shemu
 
Huenda unaniona kila siku ila hujui kama ni WoS!

WOS Huwa na imagine ni kama kina anna tibaijuka vile..anaweza kuwa kichwa flan na shule yake...yuko kwenye office anaheshima na ana lead group flan la watu wenye shule zao....sasa ukimkuta kama hujui....dah...JF..Ni noma.....
 
Nasikia kiharufu kwa mbali kama "mwandishi kajiandikia"! Namna ninavyomfahamu hata shaka sina!
 

Kumbuka mkishaungana hako kanguo cha Blue kwenye avator yakohuruhusiwi kulala nako:becky::becky::becky::becky:
 
mmhh !!!!!!!!!!1
icho kitumbua bib kimetuna?
aya bwana harus njema
 

Binti Maringo hivi mko serious kweli na NN? sasa mbona umeacha mali za mumeo nje nje? teh teh , badilisha basi hiyo Avatar dea. Ok Congrats!
 
Mkuu Dick ! Jina lako ni kali dick.....!:confused2:
 
:confused2:,BM +Double NN, I can imagine what kids will come out of that wedding! Can I adopt 1?if you get tripplets?:cheer2:
 
Nikitaka kuondoa senksi nafanyaje wakuu? au mpaka niandike barua ya maombi kwa invizibo!!
 
So sad for you and NN, a player marrying a ho..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…