I am lonely and I need someone

I am lonely and I need someone

Wasubiri tu humuhumu watakuja, pole sana lakini !
 
Join clubs or fraternities....
jishughulishe na huduma za jamii...jiunge na masomo ya jioni ili muda wako uutumie vema usijisikie mpweke.
 
utapata tu mkuu vuta subira wapo wengi pia lonely
 
I am so lonely and i need a girl or woman to be with me
Pole, watakuja kwa wakati uliyopangwa, otherwise epuka kuwa peke yako jiunge na shughuli zitakazokukeep busy, dont worry you will get one!
 
Kila la heri,utampata Mungu mkubwa na atakuja kwa muda aliopanga Mwenyezi. Kuwa na subira.
 
mhh, huyo mwanamke wataka kumfanya'ni?

maswali mengine bana..
Kwani wanaume tukiwa lonely huwa tunawafanya nini
wanawake tunaowapata ili kuondoa upweke???????
How old are u??????????
 
maswali mengine bana..
Kwani wanaume tukiwa lonely huwa tunawafanya nini
wanawake tunaowapata ili kuondoa upweke???????
How old are u??????????

negro whats wrong with ya? stop bitchin..
 
Ukipata utujulishe... kuna kamati kabambe humu kwa ajili ya maandalizi ya harusi...
 
Back
Top Bottom