[emoji3][emoji3][emoji3]Nipoooo shughuli halali ninayo, nimeajiriwa kwa Mo Dewji, mshahara wangu ni laki na nusu, ila Kuna madili huwa napiga.
Je, uko tayari kunidhamini nikiwekwa Ndani?
Make sure baba yakk asijue Siri hii
Jina lako zuri sanaMiaka mitano jamani?Si wote waongo.
Mbona ni mkorofi sana wewe😀, acha hizo nenda pm umri wa kuoa umefika unazurura tuuWewe ni financial services umeamua kuja na id mpyaaa
Naleta posa mamaMbona ni mkorofi sana wewe[emoji3], acha hizo nenda pm umri wa kuoa umefika unazurura tuu
Unaleta kwangu ama unapeleka kwa mleta uzi??Naleta posa mama