I am looking for a job.

AMANI SAMANYA

New Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
2
Reaction score
0
HELLOW WATANZANIA, MIMI NI KIJANA MTANZANIA MWENYE UMRI WA MIAKA 25, KWA SASA NASOMA CHUO KIKUU CHA MTAKATIFU AUGUSTINO SHAHADA YA KWANZA YA MAWASILIANO YA UMMA (BA. IN MASS COMMUNICATION), SPECIALIZED IN PUBLIC RELATIONS NA NAMALIZIA MWAKA WA TATU. NATAFUTA AJIRA KATIKA SEKTA YOYOTE AU KAMPUNI YOYOTE. KWA MAWASILIANO ZAIDI Email: amanisamanya@yahoo.com Au NAMBA YA SIMU: 0719714566. AHSANTENI SANA.
 
Maliza shule kwanza,maana kuna wenzio kama laki 1 wako mtaan hawana ajira.
 
Kazi haitafutwi hivyo kijana. Msomi wa Mass Communication ningetegemea kuwa unajua psychology na mbinu za kusaka ajira. Waajiri hawawezi kukutafuta (labda uwe na exceptional talents). Wewe ndiyo unawatafuta. Ingia kwenye mitandao ujifunze namna ya kutafuta ajira, kuanzia namna ya kutayarisha resume/CV, kuandika barua za kuomba kazi, kufanya usahili, maandalizi kabla ya usahili, nk.
 
...hawa ndo wasomi wa enzi za kasi mpya!! Msomi gani unajianikaanika tu na contacts zako kwenye public? Kazi kwelikweli,wasomi wa kasi mpya ya ******,mumepwaya km yeye mwenyewe alivyopwaya kiutawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…