I am looking for a single parent to marry me

Labda kesho utaamka vizuri na kubadili vigezo,ngoja tusubiri
 

Usithubutu kutoa ushauri kwa jambo la kipuuzi (mme mwenye mtoto/kupitia network na si kanisani!!) kama hili kwa kutumia jina la bwana.
 

Una bachelor degree .......na unaandika suching!!!!! What. Do you mean unaposema "suching"?
 
Usithubutu kutoa ushauri kwa jambo la kipuuzi (mme mwenye mtoto/kupitia network na si kanisani!!) kama hili kwa kutumia jina la bwana.

Kwani mwanaume mwenye mtoto hasitahili kuwa na mke incase hayupo kwenye uhusiano wowote na mzazi mwenzie? Je wale wenye watoto but bahati mbaya wamefiwa na wake zao hawaruhusiwi kuoa tena?
And who said mume anapatikana kanisani tu? Let me assure you my dear MAMU ONE can meet with her husband through social networks and live as happily couples
 
Last edited by a moderator:
Usithubutu kutoa ushauri kwa jambo la kipuuzi (mme mwenye mtoto/kupitia network na si kanisani!!) kama hili kwa kutumia jina la bwana.


Beside ya kuambiwa kwa neno la bwana kuwa mume / mke mwema hutoka kwake . Ni sehemu gani nyingine katika biblia inasema kuwa kuna specific places ya kumpata mume / mke? Beside ya neno lake kusema kuwa msilitaje lake ovyo hovyo ,hii ikimaanisha kwa wale wenye mzaha, au kuapa . Ni verses zipi zinasema kuwa ufanye kitu chenye Nia kilicho jema bila kutanguliza jina lake, Yesu Kristo? Nashangaa sana mnamuhukumu huyu Dada for what her faith and heart sent her to claim her desire. Neno linasema He shall give us accordingly in our heart desire. Even hata kama akitaka, msukuma mkokoteni, or mwenye hata watoto saba or mia still kama hiyo ni heart desire yake, na amemuomba Mungu kwa dhati ,kwa nini Baba aliye mbinguni asimpe ,na akiwa ni Mtoto wake ? Na ni verses gani inayosema kuwa utaje jina lake kanisani tuu? Kwako wewe ndio unaona upuuzi lakini kwa Mungu huwa hatizami hivyo unavyoona wewe, akitaka kukujibu, kukupa a heart desire that you/ she/ we want . Aliweza ku perform miracles with foolish things na kuifanya kuwa miracles.Anavyoona Yeye si kama ulivyoona wewe, Akitaka kumbariki huyu dada ,hata sasa atafanya bila kujali hayo unayojali or kufikiria wewe. Tusiwe wepesi wa ku judge others before ourselves . Watu wangu wanaangamia kwa ukosaji wa maarifa. Just elewa kila MTU anasukumwa kivyake kwa kupitia Imani yake na Roho wake aliyopewa kama msaidizi wake . Thanks.
 
Aisee mi niko na wake wanne na mwingine nimeo juzi tu!

Toka lini Msabato akaruhusiwa Kuoa mke zaidi ya Mmoja!?
Acha kudanganya watu wewe!

Msukuma muongo sana wewe! Ndio maana huyu nyapi akasema Anataka Mkiristi lkn sio msabato!
Sasa labda umuulize kwani Msabato ni dini gani?
 
Toka lini Msabato akaruhusiwa Kuoa mke zaidi ya Mmoja!?
Acha kudanganya watu wewe!

Msukuma muongo sana wewe! Ndio maana huyu nyapi akasema Anataka Mkiristi lkn sio msabato!
Sasa labda umuulize kwani Msabato ni dini gani?

Ulivyo niita nilikua nimekwambia km mimi nahitaji mke?
 

Ulivyo niita nilikua nimekwambia km mimi nahitaji mke?

Teh teh teh!
Msome huyo mtafuta mume! Anasema" Christian (Not SABATO).

kwani nyie Wahindu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…