Blue Colour
Member
- Jan 9, 2019
- 52
- 66
Haahaa kwani hawajaoa waleWale ma-pilot watakufaa
Kama zipiNaona kwa mara ya kwanza nimekuwa wa kwanza kukomenti,na kwa hili basi Mungu wetu muweza akupe hitajio la moyo wako...Nasikitika tu nimekosa baadhi ya sifa ulizohitaji.
Yes good voice yakunishawishi"Good voice" duuh mimi sijui sauti yangu ipoje ,halafu uhandsome sina duuh
πππ usichukie kuwa naamaniKingeleza cha nini sasa?? Kama kingeleza kingekua na msaada ungepata huko mitaani kwa kingeleza chako
Sent using Jamii Forums mobile app
huu mkono mbona kama naujua[emoji848]Mimi nimeshaoa ila Kama ungependa kuwa nyumba ndogo yangu nakukaribisha nimeku PM TAYARI nimekutumia namba ya simu karibuView attachment 992141
Sent using Jamii Forums mobile app
Sifa ninazo, kasoro moja tu ya elimu....I am standadi seveni. But I have money to maintain u.
-Kaveli-
Boss kazi hiko kidole hakiumi kubanwa na pete kiasi hichoMimi nimeshaoa ila Kama ungependa kuwa nyumba ndogo yangu nakukaribisha nimeku PM TAYARI nimekutumia namba ya simu karibuView attachment 992141
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo anakua handsome grandpa sio boy pumbafuHandsome boy
Age 30- 34