Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Hapo unacheka cheka Nini?Mzuka,
Kindly refer the heading! Mimi John kimario kalungeyeye natakufa kazi yoyote Ile wakuu mimi ni mhitimu master degree in business administration kutoka chuo cha st. Stewart University cha nchini Kenya.
Natafuta kazi yoyote Ile hata kuzibua vyoo nipo tayari wakuu! Tafadhalini naomba kazi connection ya kazi π π π π π.
Natanguliza shukrani π π π π π€£
Mwenyezi Mungu atakujalia utapata, ukiona tangazo la kazi unalofaa usiache kuombaMzuka,
Kindly refer the heading! Mimi John kimario kalungeyeye natakufa kazi yoyote Ile wakuu mimi ni mhitimu master degree in business administration kutoka chuo cha st. Stewart University cha nchini Kenya.
Natafuta kazi yoyote Ile hata kuzibua vyoo nipo tayari wakuu! Tafadhalini naomba kazi connection ya kazi [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji16].
Natanguliza shukrani [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji16] [emoji1787]
Unajifunza kutumia JF? Au ni attention?Mzuka,
Kindly refer the heading! Mimi John kimario kalungeyeye natakufa kazi yoyote Ile wakuu mimi ni mhitimu master degree in business administration kutoka chuo cha st. Stewart University cha nchini Kenya.
Natafuta kazi yoyote Ile hata kuzibua vyoo nipo tayari wakuu! Tafadhalini naomba kazi connection ya kazi [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji16].
Natanguliza shukrani [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji16] [emoji1787]
Unajifunza kutumia JF? Au ni attention?