Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
HIYO USHAVUKA, LABDA HIACE AU NOAHHadi sasa harrier inajaa vizuri
Kamanzi kaajabu kweli , alafu kanaongea kapo kametuliaa utadhan kanakunywa chang'aa.You're desperate housegirl
Sawa boss. Tufanye umeshinda.Mimi siwez kua na hisia na changudoa .
Naandika kwa makusudi na kwa akili timamu kabisaa.
Ili wapenda chini wakujue.
Aahh kwenda zako !!!.Sawa boss. Tufanye umeshinda.
🏅🏆🎖🥇🥈🥉🏆🏆🏆 kombe lako mzee.Aahh kwenda zako !!!.
Labda wamemshika wamchuneWatu ndo mimi na wewe Boss
Hahahahhaaaaaa eti amejaza yutong.Endelea ivoivo ukijatahamaki umejaza YUTONG
Probably. I was thinking the same labda wamemeroga coz the situation doesn't look Normal. Marafiki zake wote wapo wapo tu hawana maisha yeye tu ndo mambo safi. Anyways mambo ya kishirikina siyapi sana kipaumbele.Labda wamemshika wamchune
Probably. I was thinking the same labda wamemeroga coz the situation doesn't look Normal. Marafiki zake wote wapo wapo tu hawana maisha yeye tu ndo mambo safi. Anyways mambo ya kishirikina siyapi sana kipaumbele.
Insha Allah!! Kwetu mahari sio chini ya $5000 😊Halafu 2021 atakuja jamaa yetu kabisa, atatangaza nia dadeq, atapangiwa mahari ya 3+million. Atawehuka kuzitafuta ili aweke chuma ndani.
I insist, japo nipo nje ya mada, tusitishe mahari jamani.
Marafiki zake ni wacongo yeye ni mswahili tuWatu wa wapi marafiki?Yeye wa wa wapi??
Mambo yake ndo yamenifanya nimkinai.
Nimekuelewa boss. Mimi sikutaka kumbana hata kidogo. Nilimpa nafasi jummamosi aspend na marafiki zake. Ili jumapili tuwe wote. Yeye sasa jumamosi na jumapili zote anakua ametingwa. Siku za kazi anatoka kazini saa 2 usiku inakua ngumu kuonana. Nilishindwa hapo. Weekend nzima hata nikimpigia hapokei. Kuna mahusiano hapo au napoteza mda wangu?Kama mngekua mpo kwenye ndoa sawa una haki ya kulalamika,
Hoja nyingine ni shida yenu ni moja mnataka muda mwingi tushinde na nyie sasa hizo hela mnazotaka tuwahudumie mtazipata wapi?
Mtaanza kusema tunapenda kitonga wakati nyie ndiyo vyanzo, asili ya mwanaume ni utafutaji na katika utafutaji network ina maana sana, wanaume huwa tunapeana ramani sana hakuna watu huwa wanapiga hatua kama wale wanaojichanganya, sasa unataka akae ndani tu muda wote ili iweje,
Mtaalam wa hizi kazi!Funguaaa pm
Mtaalam wa hizi kazi!