Salaam. Shalom!
Ujio wa mtu huyu duniani aliyetokea Mbinguni Kisha kuuvaa mwili wa mwanadamu, akaingia ndani ya tumbo la mwanamke Mariam bikra Kisha akazaliwa, umeendelea kuwa utata na sintofahamu Kwa wengi.
Wayahudi waliokota mawe na kutaka kumrushia baada ya Kutoa kauli hii tata kwamba:
(Yohana 10:30).
Mimi na BABA ni umoja. Hii ni maana kuwa Mungu ni MMOJA tu, NAFSI Moja.
Wapo wanaodai kuwa mwanzo wa mtu huyu ni pale alipozaliwa na Mariam,
Hii pia Si Kweli, maana Yesu mwenyewe anasema kuwa,
(Yohana 8:58)
Yesu anawaambia, Amin, Amin nawaambia, Yeye Ibrahim asijakuwako Bado, MIMI NIKO"
Jina Hilo Mimi NIKO alilotumia kujitambulisha Yesu, ndilo Mungu alilitumia kujitambulisha Kwa Musa katika kijiti kiwakacho moto na hakiteketei. "NIKO AMBAYE NIKO". (Kutoka 3:14)
Huyu Ibrahimu YESU anayemuongelea alikuwapo kabla Yesu kuvaa mwili wa mwanadamu na Kuzaliwa, ndiye baba wa waarabu chini ya Ishmael na wayahudi chini ya Isaka na ndiye baba wa wakristo wote Kwa kumwamini Yesu. Sasa YESU ajitambulisha kuwa Yeye alikuwapo kabla Ibrahim hajakuwepo, Yesu Hana baba wala mama, ndiye huyo huyo Baba, mwana na Neno, Roho mtakatifu.
Kwa maandiko hayo, itoshe kuwafumbua macho na kuwatoa tongotongo kuwa, Yesu ndiye huyo huyo Mungu Mmoja.
Ndiye Mungu BABA.
Ndiye Mungu mwana.
Ndiye Mungu Roho mtakatifu.
Ikiwa hujamwamini Yesu fuatisha Sala hii:
BABA KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Ujio wa mtu huyu duniani aliyetokea Mbinguni Kisha kuuvaa mwili wa mwanadamu, akaingia ndani ya tumbo la mwanamke Mariam bikra Kisha akazaliwa, umeendelea kuwa utata na sintofahamu Kwa wengi.
Wayahudi waliokota mawe na kutaka kumrushia baada ya Kutoa kauli hii tata kwamba:
(Yohana 10:30).
Mimi na BABA ni umoja. Hii ni maana kuwa Mungu ni MMOJA tu, NAFSI Moja.
Wapo wanaodai kuwa mwanzo wa mtu huyu ni pale alipozaliwa na Mariam,
Hii pia Si Kweli, maana Yesu mwenyewe anasema kuwa,
(Yohana 8:58)
Yesu anawaambia, Amin, Amin nawaambia, Yeye Ibrahim asijakuwako Bado, MIMI NIKO"
Jina Hilo Mimi NIKO alilotumia kujitambulisha Yesu, ndilo Mungu alilitumia kujitambulisha Kwa Musa katika kijiti kiwakacho moto na hakiteketei. "NIKO AMBAYE NIKO". (Kutoka 3:14)
Huyu Ibrahimu YESU anayemuongelea alikuwapo kabla Yesu kuvaa mwili wa mwanadamu na Kuzaliwa, ndiye baba wa waarabu chini ya Ishmael na wayahudi chini ya Isaka na ndiye baba wa wakristo wote Kwa kumwamini Yesu. Sasa YESU ajitambulisha kuwa Yeye alikuwapo kabla Ibrahim hajakuwepo, Yesu Hana baba wala mama, ndiye huyo huyo Baba, mwana na Neno, Roho mtakatifu.
Kwa maandiko hayo, itoshe kuwafumbua macho na kuwatoa tongotongo kuwa, Yesu ndiye huyo huyo Mungu Mmoja.
Ndiye Mungu BABA.
Ndiye Mungu mwana.
Ndiye Mungu Roho mtakatifu.
Ikiwa hujamwamini Yesu fuatisha Sala hii:
BABA KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN