Prepare for the worst while praying for the bestFor sure Avriel..
It's better to expect to be Disguised rather than to expect to be Accepted
Aawww njo nkufundshe . nmeanzsha tuitionTusiojua kiingereza unatusaidiaje mkuu?! Tafasiri hakuna?!
I never give a f*ck on anyone, except me...
Aisee we si bro angu kabisa...mm mdogo wak nshakujua pole sana broWakuu Things happen unexpectedly, the way she was caring loving ....nlizama mazima maana she knows my A ,,toka kufukuzwa kazi mpaka kusimama tena mimi kama mimi..nikiwa nae ..ila.... Nina mengi Yananiumiza ila nimeamua kupambana nayo replies nyingi zimenipa pa.kuanzia
Oi, C'est la vie ma chere!!!Don't blame it on love
Kwanini unadhani najifanyisha kuwasahau? Inaonekana unanijua kuliko ninavyojijua ambayo sio nzuri.Kwanini ujiumize kwa kujifanya humfahamu mtu pale mnapokutana kisa alikukosea, maisha ni furaha ukiwajua walimwengu hawawezi kukukosesha usingizi msalimie Cheka then endelea na yanayokuusu
kirahisi hivyo my dear? zaidi ya miaka 4 pamoja???Forgive and forget.
🤝😒