I can't wait Tesla watoe simu zao niseme kwaheri na iPhone

I can't wait Tesla watoe simu zao niseme kwaheri na iPhone

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
463
Reaction score
1,009
I can't wait Tesla watoe simu zao so niseme kwaheri na iPhone coz nimewachoka na monopoly yao na ku complicate simple things kufanya ngumu eg ringtones kuweka simple tu, to download everything kirahisi bila kuhangaika na customization kirahisi;

Apple wamekuwa arrogant na matoleo yao hayana much diff anymore sio Km from iPhone 6 to X. Ukweli kwamba iOS is superior to android in many things lakini me nishachoka and I hope Tesla becomes more superior and pia ikae kw market kwa muda c kila mwaka kutoa toleo jipya and your previous phone becomes useless au less than half the price plus nackia itakuwa na satellite capabilities, solar charging, controlling vehicle among many others.

IMG_6311.jpeg
 
Kwa karne hii iphone kumpata mpizan Bado San, sio kwamba iphone ni Bora san NO, Bali Hawa jamaa wamejibrand kiasi kwamba kuwatoa kwenye Raman unahitaiji nguvu za ziada,.
Yan mtu kutumia tu iphone anafeel proud hii si Kwa Africa tu Bali mpka ulaya. But ni simu za kawaida San ila wameweka wamejibrand San.
 
Sa mbona sifa za iyo simu zote ulizotaja ni useless.
Mfano: satellite capability: hii inatumika only ukiwa mahala ambapo hamna mtandao. Sasa maisha ya sasa wapi ulipo hapana mtandao?

Solar charging: serious?

Control vehicle: hii ni App tu magari mengi ya 2020 kuja juu yana uwezo. Ni App tu una download.

Kuja na simu (hardware) inawezekana ila issue ya OS topic nyingine. Android na iOS zishakua monopoly.
 
Me I don't care kwa hao wapuuzi who buy iPhones for status me najali what I like na Km nikiipenda iyo Tesla fine by me
Kwa karne hii iphone kumpata mpizan Bado San, sio kwamba iphone ni Bora san NO, Bali Hawa jamaa wamejibrand kiasi kwamba kuwatoa kwenye Raman unahitaiji nguvu za ziada,.
Yan mtu kutumia tu iphone anafeel proud hii si Kwa Africa tu Bali mpka ulaya. But ni simu za kawaida San ila wameweka wamejibrand San.
 
Sa mbona sifa za iyo simu zote ulizotaja ni useless.
Mfano: satellite capability: hii inatumika only ukiwa mahala ambapo hamna mtandao. Sasa maisha ya sasa wapi ulipo hapana mtandao?

Solar charging: serious?

Control vehicle: hii ni App tu magari mengi ya 2020 kuja juu yana uwezo. Ni App tu una download.

Kuja na simu (hardware) inawezekana ila issue ya OS topic nyingine. Android na iOS zishakua monopoly.
Sijui zitaanza kushuka bei lini.!🤔🤔🤔
 
Sa mbona sifa za iyo simu zote ulizotaja ni useless.
Mfano: satellite capability: hii inatumika only ukiwa mahala ambapo hamna mtandao. Sasa maisha ya sasa wapi ulipo hapana mtandao?

Solar charging: serious?

Control vehicle: hii ni App tu magari mengi ya 2020 kuja juu yana uwezo. Ni App tu una download.

Kuja na simu (hardware) inawezekana ila issue ya OS topic nyingine. Android na iOS zishakua monopoly.
Mkuu mbona ziko chimbo nyingi tu mpaka sasa mtandao unasua sua hapa Tz
 
Waje na OS yao ya tofauti kabisa,pia waunganishe simu zao na satellite zao yani iwe unaweza pata mtandao popote ulipo hapo wataweza kuwin apple na androids
 
I can't wait Tesla watoe simu zao so niseme kwaheri na iPhone coz nimewachoka na monopoly yao na ku complicate simple things kufanya ngumu eg ringtones kuweka simple tu, to download everything kirahisi bila kuhangaika na customization kirahisi;

Apple wamekuwa arrogant na matoleo yao hayana much diff anymore sio Km from iPhone 6 to X. Ukweli kwamba iOS is superior to android in many things lakini me nishachoka and I hope Tesla becomes more superior and pia ikae kw market kwa muda c kila mwaka kutoa toleo jipya and your previous phone becomes useless au less than half the price plus nackia itakuwa na satellite capabilities, solar charging, controlling vehicle among many others.

View attachment 2726009
[emoji90][emoji90][emoji90]
 
Waje na OS yao ya tofauti kabisa,pia waunganishe simu zao na satellite zao yani iwe unaweza pata mtandao popote ulipo hapo wataweza kuwin apple na androids
Mchina mwenyewe pamoja na kujigamba ila bado yupo kwenye android.
Huyu naye najua os ni android
 
Back
Top Bottom