Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,487
- 3,978
miss chagga, nina kila sababu yakukupenda. Nakumbuka mazuri uliyonifanyia ndani ya muda mfupi katika maisha yangu, nakumbuka sana sauti yako nzuri yenye kuvutia ajabu ikinishauri juu ya kujipanga kimaisha na kuachana na ulevi.
Nakumbuka sana jinsi usivyopenda mimi kunywa pombe, nimeanza kupunguza sasa na ninaamini nitaacha na kuja kwako rasmi nakumbuka sana nilivyokuona kwa mara ya kwanza, nafsi yangu iliufurahia sana sana uzuri wako.
Siwezi kusema yote hapa..:crying: naandika hapa kuutangazia umma wa JF kuwa ur the most beautiful woman to me, kuna siku utanielewa tu!
My silence means alot, I just give my self enough time....
Nakumbuka sana jinsi usivyopenda mimi kunywa pombe, nimeanza kupunguza sasa na ninaamini nitaacha na kuja kwako rasmi nakumbuka sana nilivyokuona kwa mara ya kwanza, nafsi yangu iliufurahia sana sana uzuri wako.
Siwezi kusema yote hapa..:crying: naandika hapa kuutangazia umma wa JF kuwa ur the most beautiful woman to me, kuna siku utanielewa tu!
My silence means alot, I just give my self enough time....