Kwani kila anae fanya kabla ya kuoa anapata ukimwi?Usifanye mpaka uoe la sivyo utapata UKIMWI.
yeye ameomba ushauri tu.nina amini suala la ukimwi analijua.Usifanye mpaka uoe la sivyo utapata UKIMWI.
nimekaa boding miaka minne bila kufanya mapenzi nilipomaliza 4m4 nikarudi zangu home mara nikawa na mahusiano na msichana mmoja siku yangu ya kwanza kufanya naye mapenz nilishindwa kwani nilipoanza kumchezea nikajikuta nimelowa mwenyewe kabla sja swich on machine je hili ni tatizo naombeni ushauri