<br />Dah! Umenikumbusha Sweetie... Sijaitwa baby kwa masaa machache na tayari i feel love sick...
Ukweli hilo jina likitumiwa kwa uhalali bila kuwa na 'hidden agenda' ni tamu sana. Napenda kuitwa hivyo pia.
<br />
<br />
asha d,kesho ntakuja kula pilau,sawa baby....so umeridhka?
<br />mbona sio hilo tu,<br />
baby, kuna namna ya kulitaja hadi unahisi uko mwenyewe duniani<br />
beibei, bebieee, jamani babiiii!! Hapo ukutane sasa na sauti imekwenda shule kama ya Yahabibi wangu, anaongeza na vionjo vingine, kama<br />
<br />
honey<br />
sweetie<br />
darling<br />
lolipop<br />
my sweetheart<br />
<br />
ohhhhh!! Hakuna raha kama kuitwa vizuri na mahhabuba wako.
my baby! My sweetheart!,honey!,my love!,my angel!,my qeen!,my darling! My boo!.MANENO MATAMU SANA HAYA KTK MAPENZI HASA KWA WAPENDANAO KWA DHATI,KWA WANANDOA YANAPOTUMIWA HUDUMISHA SANA UPENDO.
<br />mbona sio hilo tu,<br />
baby, kuna namna ya kulitaja hadi unahisi uko mwenyewe duniani<br />
beibei, bebieee, jamani babiiii!! Hapo ukutane sasa na sauti imekwenda shule kama ya Yahabibi wangu, anaongeza na vionjo vingine, kama<br />
<br />
honey<br />
sweetie<br />
darling<br />
lolipop<br />
my sweetheart<br />
<br />
ohhhhh!! Hakuna raha kama kuitwa vizuri na mahhabuba wako.
<br />Yani unakuta kasichana kadogo kanaliita zee zima tena mbele ya kadamnasi eti my Baby,zee nalo lnakua comfortable kabisa..
picha nzuri ikoje??haileti picha nzuri bana..
We uliskia beberu na c babyy!!!
<br />Yani unakuta kasichana kadogo kanaliita zee zima tena mbele ya kadamnasi eti my Baby,zee nalo lnakua comfortable kabisa..