Hun,
Nakushauri just express yourself ili ujijue for sure if you are or you are not one off!.
Gays wengi wanakuwa gays sio kwa sababu wanapenda, ni ulemavu wa kiungo kinachoitwa endocrine, ambacho kiko resiponsibple kwa production ya hormones. Ukizaliwa mwanamume lakini ikatokea una hormones nyingi zaidi za kike, utajisikia unawatamania mambo ya kike, japo mwanzoni unaweza kuwa na uwezo wa kushughulika, atamamani kushughulikiwa na ukishughulikiwa tuu!, ndio basi, hata ule uwezo wako kushughulika utategemea kiwango cha hizo hormone za kike, zikiwa nyingi, ndipo hapo mwanaume anageuka chakula!.
Vivyo hivyo kwa wanawake, sifa kuu na na normal straigh gals is to be done by opposite sex and not the same sex!. Ukijiona unatamani same sex, then be very careful you might be one off!. If you are one of and you try, youll never stop!. Na kwa vile sisi waafrika na Tanzania ikiwa ni moja wapo, bado haijaukubali ulemavu wa aina hii, hivyo walemavu wetu wengi, they are living in a living hell, kwa living in a lie!, they cant express themselves kwa sababu watatengwa na jamii!.
Pasco.