uckate tamaa/ucwe na pupa mana utaangukia pua mrembo, omba kwa imani yako utapata wa kwako wa dhati....goodluck.
Ni kweli zingatia aliyosema Carmel, wapo wanaume hawapendi kuonysha ila they real Love na wapo wanaoonyesha mapenzi honey, sweet herat kwa wingi lakini ni uzushi mtupu. Be careful use your brain na umuombe Mungu sana.Ndo mapenzi hayo shosti, yana kila aina ya ups and downs. Search your heart very well and make a decision. Ndio wapo wanaume wanaojua kupenda, caring, loving and very thoughtful, ukijipa muda na kuchunguza kwa kutumia brain na siyo heart utampata. Lakini pia kila mtu ana aina yake ya kupenda, wengine hawapendi kuexpress feelings zao wakidhani huo ndo uanaume, lakini deep inside they care ila tu hawasemi wala kuonyesha. so inahitaji uchunguze na kuamua mwenyewe. all the best na pole kwa maumivu.
the guy loves you, he is not gifted to show it outside. ndiyo maana ukimuona tu nguvu zinakuishia.
SIJUI....maana....he doesn't show kama ananipenda things kama anavyojibu simu....anapoke unasemaje....ukimbip akipiga neno l akwanza sina hela ongea haraka....uwiiii ndifwaaa...yani ananikosesha raha....
sasa hpo nani anampenda nani zaidi??the guy loves you, he is not gifted to show it outside. ndiyo maana ukimuona tu nguvu zinakuishia.
yani simuelewi jamani kama ananipenda au vipi nkimuliza kama anihitaji hasemi kama ananipenda hasemi mimi napenda mwanaume ananiambie ananipenda anipigie simu at least once per day jamani...lakini sio huyu yani ananiudhi nshamwambie sana lakini haelewi...yani he is not caring,hana romance....yani hana ukimwambia I love u anajibu haya..au poa baadaye...yani hiyo mi inaniboa.....
SIJUI....maana....he doesn't show kama ananipenda things kama anavyojibu simu....anapoke unasemaje....ukimbip akipiga neno l akwanza sina hela ongea haraka....uwiiii ndifwaaa...yani ananikosesha raha....
kawimbo aliimbaga nani vilee?usiumize kichwa mama tupo watu hapa kwaajili yako.:hug:"NJOO KWANGU UNACHOTAKA NTAKUPA,
NJOOKWANGU UNACHOTAKA NTAKUPA,
USIHOFU MIMI NI WAKO,
USIHOFU MIMI NI WAKO,
ISAGHA GWE NGUBHULEEE,(itikia angwisa)
ISAGHA GWE NGUBHULEEEE,itkia angwisa)"
SIJUI....maana....he doesn't show kama ananipenda things kama anavyojibu simu....anapoke unasemaje....ukimbip akipiga neno l akwanza sina hela ongea haraka....uwiiii ndifwaaa...yani ananikosesha raha....
hio one day,asipotokea je?
OMG Gal i dont how old r u but u r making a big mistake... i donno how deep ur relationship is have u two slept together? (skip the question if it is too personal), as I said before I dont think this guy love u but may be u need to change your attitude...I will give u some lessons if it will helpSIJUI....maana....he doesn't show kama ananipenda things kama anavyojibu simu....anapoke unasemaje....ukimbip akipiga neno l akwanza sina hela ongea haraka....uwiiii ndifwaaa...yani ananikosesha raha....
hahaha .... mapenzi yasiondolewe ila sisi wanawake tunakosea kuwapenda sana kushinda tunavyojipenda sisi wenyewe... kama mie ndio ntaanza kutafuta mtu wakunidanganya (sweet talk) kama yeye ameshindwa... u know what I have learned? if you want to be loved u should love urself first... If u cant love urself how do u expect someone else to love u?na hapo unaweza kuta ana wa pembeni hizo i luv u na makororokoro yote anaambiwa , akija huku hata mahabuba hatamki, mapenzi yangeondolewaga duniani bwana.
May be you beep him at wrong hours. Na ndio maana ukiuchuana siku mbili anakutafuta. Yawezekana unamboa vitu vidogo vidogo sana, ila sio mtu wa kusema moja kwa moja! Jaribu kuacha kufanya vile vitu ambavyo huwa vinamfanya akujibu mkato mkato.
ha ha ha ngoja niingie mgombani mie!!SIJUI....maana....he doesn't show kama ananipenda things kama anavyojibu simu....anapoke unasemaje....ukimbip akipiga neno l akwanza sina hela ongea haraka....uwiiii ndifwaaa...yani ananikosesha raha....
ha ha ha ngoja niingie mgombani mie!!