I just wonder tu

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,541
Reaction score
2,487
Leo nipo job hapa hamna kazi, mizigo imechelewa kutoka bandarini so leo kuchat tu..Sasa nikawa nawaza hivi binadamu tungekuwa tumegawanyika kama ilivyo weusi na weuspe katika muktadha wa kwenda chooni, yaani ingekuwa hivi kwamba kuna baadhi ya binadamu hawaendi haja kubwa na wengine wanaenda si hao ambao wangekuwa hawaendi wangekuwa wanawatesa sasa hao ambao wanaenda?

I just wonder tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…