Labda awe hajaliwa ndogo wewe ndio ukatoe bikra hapo lazima uwe wa tofauti na wote hao 20......INAUMA SANA YANI UNAOA MWANAMKE AMBAE AMELALA NA WANAUME KAMA 20.KUNA LIPI JIPYA UTAFANYA AWASAHAU HAO WANAUME WOTE KWA PAMOJA???
BORA WAZEEKEE NYUMBANI TU KULIKO KUOA MWANAMKE WA AINA HII
🤣🤣🤣aisee we are differ et mkuuTungekuwa tuna mawazo yanayofanana kidogo hili lingefanya kazi.wakati wewe unawaza hivi,hawa viumbe wanawaza vingine kabisa na huwezi wabadilisha.
Mfano Mimi binafsi nimejaribu hili mara kadhaa na nimeishia kuonekana mjinga,mara ya kwanza huwa wanakuwa loyal lakini mwisho wa siku wanakupuuza tu.
Wacha tuendelee tu kufanya kama tunavyofanya,tukiona mambo ni mabaya zaidi Hakuna kuoa kabisa ama tufumbe macho tukubaliane na yote.Choose wisely
Nadhani imetoshaMan up
Keep it real with her....
Sauti imetosha au iongezwe???😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Mwenzenu kaleta mada yake kwa kimombo,
MAMLUKI MNA CHANGIA KWA KISWAZI.....!
yes, you know, fucks fucks then LEAVE HER ALONE
🤣🤣🤣🤣Usichanganye lughaView attachment 1730099
Nipo na kipaza sauti hapaUnawafokea....
SanaaNoma sana!
🤣🤣🤣🤣20 wengi ivyo
Niulize Mimi aisee,,
Jamaa yake alie mtoa bikra anashindwa kumsahau
Ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa
kuna pisi kali moja back then nikiwa university morogoro iliwahi kuniambia wanaume aliotembea nao ikiletwa abood bus moja hawatoshi wako watakao kosa siti.INAUMA SANA YANI UNAOA MWANAMKE AMBAE AMELALA NA WANAUME KAMA 20.KUNA LIPI JIPYA UTAFANYA AWASAHAU HAO WANAUME WOTE KWA PAMOJA???
BORA WAZEEKEE NYUMBANI TU KULIKO KUOA MWANAMKE WA AINA HII
Nyie wa zamani mlikuwaje babu?Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Umemaanisha nini broh?Bro, you are "beating a guitar to a goat"
aiseee🤣🤣🤣kuna pisi kali moja back then nikiwa university morogoro iliwahi kuniambia wanaume aliotembea nao ikiletwa abood bus moja hawatoshi wako watakao kosa siti.
🤣🤣🤣Kikristo kimecharazwa hapooo eeeh!
Mungu wangu🙆♂️nimepewa offer kutoa bikra ya makalio leo hii kama utani
Tafsiri kwa kiswahili utaelewa tuuUmemaanisha nini broh?
tundu analotokea binadamu hawezi shindana nalo halichakai halibadiliki na sio sabuni mwambieNyie wa zamani mlikuwaje babu?
Broh "beating a guitar?" kweli ulidhamiria kuandika vile au direct translation kutoka kiswahili kwenda lugha ya malkia ndio imekupoteza?Tafsiri kwa kiswahili utaelewa tuu
Si unajua lugha yenyewe ilikuja na meli mkuu?Broh "beating a guitar?" kweli ulidhamiria kuandika vile au direct translation kutoka kiswahili kwenda lugha ya malkia ndio imekupoteza?
Nenda ka edit basi kabla wengine nao hawajaona.