i like this picture

Ivuga huku ni wapi.....naona kama patanifaa kwa hanemuni
 
Kuzuri....ni wapi huku Ivuga??
 
Huyu Shyrose alikuwa anamchanganya mzee wa watu akili, badala ya kumsaidia kuziba pacha ya baiskeli yake yeye anakaa kihasara hasara mbele yake!

sijuhi alipokuwa anakaa alimwomba mzee hasiangalie ama alikaa tu? kuomba kura ni kaaazi kwelikweli

Hii picha inaonyesha kabisa hali halisi ya Tanzania, Huyo mzee ilikuwa ni muda wake wa kupumzika na kula pension, lakini ana bonge la zigo kwenye biskeli na keshapata pancha, labda wakina Shyrose walikutana nae njiani tu, duu haya maisha! inauma sana
 
If you give someone a fish, he/she will eat it at once but if you teach someone to fish, he/she will eat the fish for the rest of his/her life!

una maanisha nini mkuu genekai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…