i like this picture

una maanisha nini mkuu genekai?

Ni vizuri kumsaidia huyu babu ajitafutie uwezo endelevu amudu kunywa maji kuliko hiyo chupa ya maji unayompa spontaneously unapokutana naye then you go!!!
 
I can bet my money that the old man is so much destructed that he can not understand anything she says or anything he says.


I hope you meant '' distracted"
 
Hapa kwa kweli barafu imetulia lakini je tabia nchi itapaacha hapa barafu iendelee kuwepo? picha imetulia
 
Ndiyo maana mlima Kilimanjaro unapoteza theluji yake. Akina Ashok (introduced tree species) zinafanya nini hapo karibu na mlima?

sio karibu hapo bro hizo ni mbwbwe za mpiga picha mkuu ahahahhah mbali sana hapo
 
picha zote ulizo ziweka hapa ni makini sana nimezipenda sana ... cheers:A S crown-1:
 
Imenikumbusha somo la MaP reading and Photograph interpratation enzi hizo. kwenye somo la jiografia

Artificial thing about this picture ni hiyo chupa ya kilimanjaro aliyonayo huyo mzee.??????= Rushwa

Inaonyesha wanasiasa wakiwa wanasaka kura wanawapa watu vitu artificiaal au vya muda mchache . Wakishapata kura mzee angepigwa picha akiwa anakunywa maji ya................................................... malizia

BTN shyrose analipa
 

ya dimbwi.
 
Kwali kabisa tena hii ni hatali anamtega bila yeye kujijua ndio maana mzee wa watu hawezi hata kuongea kweli hii ni ngumu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…