I love my girlfriend but am attracted to other girls.


ushaur mzur, @ Senetor copy hapa!
 

hilo ni pepo la tamaa,tena tamaa ya uzinzi inabidi kukemea sana,tena sali/swali sana kushinda hiyo nguvu ya mwovu shetani maana imewakumba wengi hasa walioko kwenye ndoa ndio maana idadi ya nyumba ndogo na vidumu imeongezeka, hata kwa wasio katika ndoa wana miliki mademu kumi kumi,watu wanagawana wanagawiana mapenzi utafikiri ni wnagawiana utajiri kumbe wanagawiana dhambi na magonjwa,jiepushe mkuu if u dont want to be a victim
NB
Mkataa pema pabaya panamwwita..,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…