Kama hivyo sawa.. Kwahiyo si nianze tu kuwatambia majirani hukuUshone magauni ya kazi gan lakin, ma designer kibao waliojaa mbele huko... ukumbi we just press an order pale mliman city imeisha hiyo
Simjui huyo penseliππππ€£
[emoji16][emoji16] ndio ukubwa huo Mr Mandala.Hahahahaha..vigezo unavyo ? Hunu wanapendwa wenye mahela na sio visenti vya mawazo
Yaani ukiambiwa mambo ..unatuma 250k ya lunch ..ndio utapata humu
Hao wanga achana nao. Wasije wakakuroga tu bure mi nikukose kitu ambacho siko tayari. Haya maisha na hiz pesa zangu nataka nizimalize na wewe for the rest of it.. fanya kwanza tutambiane sis wenyewe tuonyeshane ubabeKama hivyo sawa.. Kwahiyo si nianze tu kuwatambia majirani huku
HahahaNakushauri soma posts na maoni yao kwa utulivu sana
Ukubwa jalala[emoji16][emoji16] ndio ukubwa huo Mr Mandala.
HuhuuuπππHao wanga achana nao. Wasije wakakuroga tu bure mi nikukose kitu ambacho siko tayari. Haya maisha na hiz pesa zangu nataka nizimalize na wewe for the rest of it.. fanya kwanza tutambiane sis wenyewe tuonyeshane ubabe
ahahaha ulijichanganya kweli, alitegemea ukimpa kiasi kidogo ni mara 10 ya hiyo 20kTena inawezekana ikawa Tangazo kabisa...nilijichanganya kwa mtu nikatupa 20k ya lunch..nikaambiwa yy sio mtoto wa sekondari ...toka siku hy nikanyoosha mikono juu
Hahahahaha yaani nimpe 200K ya lunch ? Mmmh nimekua Mo...cha kushangaza niliona post yake sehemu anamwambia rafiki yake ana shida ya 5k alipe songeshaahahaha ulijichanganya kweli, alitegemea ukimpa kiasi kidogo ni mara 10 ya hiyo 20k
So am Waitiiing..... i know you know.Huhuuuπππ
Ushachelewa kaka ila karib kwenye mtanange. Mi sina roho mbayaHata Mimi nampenda sana Leejay49 sina uwezo wa kumuanzishia tu uzi π
Hahahahaha, mwenye kisu kikaliUshachelewa kaka ila karib kwenye mtanange. Mi sina roho mbaya
I love her silently, and there is no any rejection Mkuu πππUshachelewa kaka ila karib kwenye mtanange. Mi sina roho mbaya
Baasi..ushamaliza chief.Hahahahaha, mwenye kisu kikali
Mshenzi wa tabia huyo hafai hata kuwekwa karibu.Hahahahaha yaani nimpe 200K ya lunch ? Mmmh nimekua Mo...cha kushangaza niliona post yake sehemu anamwambia rafiki yake ana shida ya 5k alipe songesha