Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kwamba Siku hizi mnaoa "ChaWote"Bora wewe ulikua una uhakika bibi utakua unamla peke yako
HahahahahaDuuh umeniita dogo na chizi at the same time [emoji23][emoji23] hii ndo inaitwa kuoga matusi
TrueSisi kama madada tunaomba uandike kwa Id yako kongwe ndio tutoe majibu ๐
Tena bora wangekua wanachota bas halaf wakanywee mbali..Kwamba Siku hizi mnaoa "ChaWote"
Pombe ya ngomani Kila mwenye jagi anaenda kujichotea ๐๐๐๐
Ole wake, tupo hapa tunamsubiri aanze ๐Na ukiona ameandika hivi ujue kuna michambo dot.com inafatia
Weeeeee kumbe! Kwahiyo anaogopa hadi fake ID ya feki ID yake??Sweetheart, hujamjua tu huyo mtu kumbe? Na huwa anatuchamba balaa.
Kuna siku alituchamba mimi na Dr Lizzy Leo nashangaa tu hapa.
Poleni Mkuu, ndiyo maana huwa najivunia kuzaliwa miaka ile ya 1940s kumbe tumeepushwa na mengi ๐คTena bora wangekua wanachota bas halaf wakanywee mbali..
Mengi sana...Poleni Mkuu, ndiyo maana huwa najivunia kuzaliwa miaka ile ya 1940s kumbe tumeepushwa na mengi ๐ค
Hahahaha ,ina maana humu ni muhimu kuwa na demu hasa km id ni ya muda mrefu?Maghayo yeye akila bange anarizika hana shobo wala hashobokewi na mademu wa Jf ,joined since 2014 hana hata demu wa kusingiziwa humu..
Hahaha..........Poleni Wakuu, tatizo hata nyimbo za miaka hii zinahamasisha hayo mambo.Mengi sana...
๐๐๐, Eto zaidi ya kaburiHahaha..........Poleni Wakuu, tatizo hata nyimbo za miaka hii zinahamasisha hayo mambo.
Imagine Kuna wimbo nilisikia wanaimba "Hakuna cha peke yako zaidi ya Kaburi"
Wimbo kama huu unahamasisha ukiwa na Mke basi Vijana wa hovyo ruksa kupiga ๐
Babu yenu nilivyo na wivu mtanikuta nimejikufia huko Kwa maumivu ya kuchapiwa ๐
Acha kuji fanya legend, akati madem Ume wajulia ukubwani๐๐Mengi sana...
Mkuu umenichekesha. Kuna sehemu nadhani uliponea chupuchupu.๐คฃ๐คฃ๐คฃHahahahaha yaani nimpe 200K ya lunch ? Mmmh nimekua Mo...cha kushangaza niliona post yake sehemu anamwambia rafiki yake ana shida ya 5k alipe songesha
Hahaha, 30k sio kitu kwao mkuu. Wana maisha sio ya kitanzania.hahahahahaha..wakiwa humu wanakua wasomi wa hali ya juu ...wana matumizi mengine kabisa ...wakiwa humu 20K haifai hata kwa vocha
Hahahahaha wako vzr mno wadada wa humu..30k -50K wala usipoteze muda wakoHahaha, 30k sio kitu kwao mkuu. Wana maisha sio ya kitanzania.