I Love u so much

Ujumbe huu umfikie Kasie mahaba matata popote pale alipo...

I mean it!

Looh Mahaba haya yalinipita vipi mie Babu Big Sam
Mmuahh mmuaahh mmuuuaahh

Nineupokea ujumbe kwa Mahaba Matata bin Malabuku zetu.

Yaani nazidi kung'ara tuu JF...
 
Tutamcheka tutambeza tutamkejeli na kumdhihaki mleta mada lakini kamwe hatujachukua walau sekunde kutafakari kipindi anachopitia na jitihada za kuomba suluhu hadi kufikia kuja kupost hapa

Kuna maumivu yake makubwa sana kwenye hili... Mwana kala buyu hataki kusamehe... Hatujui kosa ni ninini hivyo siwezi kuhukumu kikubwa hapa ni mmoja kaamua kujishusha kabisa na kuomba radhi kwa njia hii... Ametua mzigo mzito...
 
To the head above why can't you forgive me for once,I know you are reading this.

IF I OFFENDED YOU IN ANYWAY LOVE FORGIVE ME PLEASE
 
Kweli kabsa
 
Nimekusamehe mama pole sana kwa unayopitia ila jipe Imani yatakwisha January,
Mungu akutangulie
 
Chukulia poa. Mbona mi sijasamehewa muda mrefu na maisha yanasonga tu. Hatuwezi acha ishi kisa umemkosea mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…