I love you ladies...yes i love you so much!!!

Na mimi nawapenda wanawake sana sana, ashukuriwe aliyeumba maua haya yaipambayo dunia...sifa zivume kwa mfalme wa wafalme awezaye kufanya mambo makubwa ambayo akili zetu wakati mwingine haziwezi kuyaelewa. Ombi langu awasaidie wanaume wote kuyapata yale maua wanayoyatamani ili wamtukuze milele kwa jambo hili jema alilowaumbia.
 

Ahsante sana Ntuya kwa kuniunga mkono...

Adamu alipoamka usingizini na kumuona mwanamke mapigo ya moyo yalisimama na akajua duniani tofauti imefanyika.

Akasema "huyu ni mfupa katika mifupa yangu na nyama katika nyama yangu".

Kama wanaume wote tutafikia hapa, mambo yatakuwa matamu
 

Kweli kabisa! ukiona mkono unataka kumpiga mwanamke ni bora uukate, ukiona mdomo unataka kumdhalilisha mwanamke ni bora ukate ulimi! n.k. ''NI BORA KUINGIA KWENYE UFALME WA MUNGU UKIWA HUNA VIUNGO VYOTE KULIKO KUINGIA JEHANAMU NA VIUNGO VYOTE''
 
am sure u won't break my heart,but rather u will make it :smile-big:
you are damn right!!.........just a question.........nani kauvunja? i will replace it.......i have got two unused hearts.
i will replace and install electric fence around it. How about that?!
 
Mtoa mada mke wako ni mwanamke mwenye bahati sana kupata mume kama wewe
 
you are damn right!!.........just a question.........nani kauvunja? i will replace it.......i have got two unused hearts.
i will replace and install electric fence around it. How about that?!


We Big....where did you get them....mmmhhh!!!!!
 
Mtoa mada mke wako ni mwanamke mwenye bahati sana kupata mume kama wewe

Hey...thank you sweetheart...niko kwa kazi na nikirudi nitampa laptop asome ujumbe wako
Nashukuru pia kwa kuwa she make me a real and complete man....NAJIDAI KWA KUWA NAE MAANA KABLA YA KUWA NA YEYE SIFA HIZI SIKUWEZA KUZIPATA...SHE IS FANTASTIC
 
asante ubarikiwe laiti wote wangekuwa ivo:frusty:
 
you are damn right!!.........just a question.........nani kauvunja? i will replace it.......i have got two unused hearts.
i will replace and install electric fence around it. How about that?!

come zis way basi,,haujavunjwa lkn nimeweka alert naogopa kuvunjwa mie
 
Mtoa mada I salute you!

At least ndo nachoweza kusema ili kuitendea haki thread hii tamu.

Salute to all women....My mama, wife, kids, wajukuuz and all women in the world. Bila nyie, dunia isingekuwa sehemu tamu ya kuishi.

Amen!
 

We Big....where did you get them....mmmhhh!!!!!
Ni-PM nitakupa story kamili. Mimi sio fundi Moyo, ni replacer wa mioyo iliyokata tamaa
Kwa hiyo, kama moyo umevunjika, bidada anatakiwa asije kwangu, lakini kama moyo wake umekata tamaa........naweza kuufanyia refurbishment au ku-resuscitate.
 
Mtoa mada I salute you!

At least ndo nachoweza kusema ili kuitendea haki thread hii tamu.

Salute to all women....My mama, wife, kids, wajukuuz and all women in the world. Bila nyie, dunia isingekuwa sehemu tamu ya kuishi.

Amen!

bibi ana bahati sana nae
 
come zis way basi,,haujavunjwa lkn nimeweka alert naogopa kuvunjwa mie
I am just a call away.......you know that.
Sasa wewe ni mwanamke, so nakupenda saaaana kama mwanamke kwanza, pili nakupenda kwa sababu wewe ni special kwangu, tatu nakupenda coz sina sababu nyingine ya kuacha kukupenda.......
I LOVE YOU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…