Nikugawie bahati kidogo?.......caring is sharing. siwezi kuona mwanamke wewe unapata shida na mm nawapenda wanawake halafu nikuache uteseke tuuu!yaani we acha tu kuna wamama wana bahati bana lol
Mtoa mada I salute you!
At least ndo nachoweza kusema ili kuitendea haki thread hii tamu.
Salute to all women....My mama, wife, kids, wajukuuz and all women in the world. Bila nyie, dunia isingekuwa sehemu tamu ya kuishi.
Amen!
yaani we acha tu kuna wamama wana bahati bana lol
lkn ili bahati ikamilike
maneno=matendo
I am just a call away.......you know that.
Sasa wewe ni mwanamke, so nakupenda saaaana kama mwanamke kwanza, pili nakupenda kwa sababu wewe ni special kwangu, tatu nakupenda coz sina sababu nyingine ya kuacha kukupenda.......
I LOVE YOU.
Nikugawie bahati kidogo?.......caring is sharing. siwezi kuona mwanamke wewe unapata shida na mm nawapenda wanawake halafu nikuache uteseke tuuu!
achanteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!:smile-big::smile-big:
sjui wale wenye bfu na wanawake wapo wap?
Dont just store me, use me now...........and make sure its not too deep, i may not be able to come back....:smile-big::smile-big:OMG,,am proud to be a woman,,halafu thank God kwa kuwa spesheli kwa mtu nyeusi a.k.a hati meka,,me loves u a loooooooot halafu will store u deep here :smile-big:
Orait, nalifanyia lojistiki hili.......we love ya women bana!nigaie hata kidogo mwaya maana bahati zinatupita tu pembeni, bora nyie mko huku wababa wengine hawataki hata kuja walivyo na roho mbaya
Dont just store me, use me now...........and make sure its not too deep, i may not be able to come back....:smile-big::smile-big:
nigaie hata kidogo mwaya maana bahati zinatupita tu pembeni, bora nyie mko huku wababa wengine hawataki hata kuja walivyo na roho mbaya
maty nataka nikaongee na babu anikabidhi NewDownTz,,unaonaje?
kwa hiyo asipotoa, aendelee kung'ang'ania kwa mwaka mzima? najaribu kuelewa maana ya kung'ang'ania hapa.Kwa kweli huyu anafaa sana kaombe ruhusa kwa babu tena umng'ang'anie mpaka atoe ruhusa lol
heeeeee!!! hii vesi ni uchakachuzi......I can tell without doubt.Thank you Lizzy ma dear...Without You our World would have never Spin around its own axis
maty nataka nikaongee na babu anikabidhi NewDownTz,,unaonaje?