Why too bad? soma signature yangu. Kila kitu comes for a reason. This separation ni wakati wakutafakari tena sababu msingi zinazofanya pemzi letu kua na nguvu, na namna gani tunaweza kuhimarisha hisia zetu na kujenga familia yetu.Ooooh Gosh!
Too bad for you!
I knew it...I knew it!
Nikiweka kwa kiswahili shairi litapotea. Ila kwa kifupi inahusu mwanamke ambae anakiri penzi lake kwa mwanaume.
kipengele cha kwanza anamwambia vile mchana na usiku, akilala akiamka mawazo yake yote yamevamiwa na huyo mwanaume.
Kipengele cha pili anaendelea kusema kwamba hajawahi kupenda namna anavo mpenda, na anajua ataendelea kumpenda hivo milele.
Kipengele cha tatu kinahusu anavo jiskia anapo wasiliana na mwanaume huyo, hasa walivoongea kwenye sim jana yake πA S wink: ),
alafu kipengele cha nne anamwambia anamtaka maishani mwake, sio kama rafiki tu, anamtaka kama mume.
Anamalizia kwa kusema kua ndoto yake ni kwamba mwanaume huyo atampigia tena sim na kumwambia kua yeye ndie "the one"...
Yes, alie andika inaonekana bado hawajaoana na ukisoma kwa ndani ni kama dada ndie kapenda, na anaota mwanaume atamchumbia na kumuoa.Naamini hawa bado ni wachumba.....Au ndo wako kwenye fungate la siku 100!!
So you wanna mean that those living together day in-day out don' get enough tym to digest matters, right?Why too bad? soma signature yangu. Kila kitu comes for a reason. This separation ni wakati wakutafakari tena sababu msingi zinazofanya pemzi letu kua na nguvu, na namna gani tunaweza kuhimarisha hisia zetu na kujenga familia yetu.
Ila we see eachother everytime we can
Ni raha sana unapokuwa una imani kuwa unamfanya mtu fulani awe na amani na furaha sababu yako, isiwe kinyume chake lakini!
Yes, alie andika inaonekana bado hawajaoana na ukisoma kwa ndani ni kama dada ndie kapenda, na anaota mwanaume atamchumbia na kumuoa.
Ila mimi namtumia mume wangu ajue tu kua nampenda kama vile nilivokua nampenda siku za kwanza (probably more in fact)
Na pia nawatakia wote wenye kupenda/kupendwa waburudike kwa shairi.
blue: sema tukaifuta.Thank you hun. Nilianzisha ingine thread juzi, wakaja wachakachuaji profeshono wakanipotezea mada kabisa, hadi ikafutwa! but I hope this one stays...
Aiseee. . .
Hongereni sana wapendaji na wapendwaji...I hope it lasts (kwako pia RR).
Lizzy, raha ya kupendwa kwanza ni kwamba inatoa ile insecurity na ma wivu ya kijinga. you move out from kukaguana ma sms, kusambishana kuhusu marafiki, na mnafocus on being there for each other at any time. Furaha yako ni kumuona akifanikiwa, na furaha yake ni kukuona ukifanikiwa.Aiseee. . .
Hongereni sana wapendaji na wapendwaji...I hope it lasts (kwako pia RR).
Aiseee. . .
Hongereni sana wapendaji na wapendwaji...I hope it lasts (kwako pia RR).
Are you in Love? it echoes better in a heart that is in love... π
Wewe uko likizo nini kw sasa na hayo mambo Lizzy?
Biashara ya bangi na mapenzi wapi na wapi?Ahsante Lizzy,
Nikiwa mmoja wao, nakushukuru kwa kuturushia pongezi....
Ni kweli kuna kipindi unamwona menzio kama vile ndiyo mmeonana leo....Hata hivyo kuna mida unatamani itokee rift valley katikati yenu ili walau upate break!! Ni biashara ya ajabu sana kama ya bangi!!
Hongera mwaya kwa kua umekomaa kimapenzi.Wengi wanapenda na kupendwa ila wanashindwana kwa uchanga (mawivu na kuchunguzana kama virus na bacteria vilivyopo maabara) tu.Lizzy, raha ya kupendwa kwanza ni kwamba inatoa ile insecurity na ma wivu ya kijinga. you move out from kukaguana ma sms, kusambishana kuhusu marafiki, na mnafocus on being there for each other at any time. Furaha yako ni kumuona akifanikiwa, na furaha yake ni kukuona ukifanikiwa.