Hehehehehehehe , halo haloooooooo.ahhhhh
kwa taarifa yako nimewapanga .
hahahahahah lol. ila sitaki wanipenda kwa
ninachokifanya au kwa sababu ya kitu fulani.
Nataka atakae mpenda Afrod kama Afrod. ..
Hakuna matata mwenyewe.
Lizzy Luu Relax. Take it easy .
Wanabisha hodi kuomba chumvi tu.
I'm relaxed now.
Weeeeeeee kakondoo.Really?
Mama mchungaji is excited and happy for ya.Ila sasa inabidi zile kazi aanze kusaidia ili niwe namfagilia.
yalaaa yaani huko umeingia chaka kabisa, nigee sh. 5 kubwa nikwambie!!