labda anaogopa nywele za usoni
Wana JF naomba mnishauri kitu mimi kuna dada mmoja ninampenda sana na yeye analifahamu hilo maana nimewahi kumueleza kwamba nina mpenda sana ningependa tuoane, akaniambia hapana maana yeye hana mpango wa kuwa na mimi na kuishi nami kama mkewe japo, huwa ananitumiaga meseji mara kwa mara kwamba ananipenda, mpaka sasa amenitumia meseji kumi na nne zinazosema ''I love you'' siku tofauti tofauti, mara tatu nilimuomba tutoke alikubari lakini nikimueleza suala la kuoana anakataa, nikiomba kufanya naye mapenzi hataki, kumbuka ninampenda kweli, huu ni mwezi wa sita ananifanyia hivi. nifanyeje na huyu dada?
Wana JF naomba mnishauri kitu mimi kuna dada mmoja ninampenda sana na yeye analifahamu hilo maana nimewahi kumueleza kwamba nina mpenda sana ningependa tuoane, akaniambia hapana maana yeye hana mpango wa kuwa na mimi na kuishi nami kama mkewe japo, huwa ananitumiaga meseji mara kwa mara kwamba ananipenda, mpaka sasa amenitumia meseji kumi na nne zinazosema ''I love you'' siku tofauti tofauti, mara tatu nilimuomba tutoke alikubari lakini nikimueleza suala la kuoana anakataa, nikiomba kufanya naye mapenzi hataki, kumbuka ninampenda kweli, huu ni mwezi wa sita ananifanyia hivi. nifanyeje na huyu dada?
mm sijawahi kumwabia mtu i luv you truely, excpt my GF huwa natumia uhandsome wangu na naingia kichwa kichwa hadi uani, nashtukia nimekula
kitu, i never missed a target, namba ya simu tu nikipata tayari nimekula, au sijui kwasbb na kazi na hali nzuri ya maisha but wajameni i never
missed a woman, huyu bado hajakua mwaume bado, huwezi kutangaza ndoa hewani hata mwanamke atajua unamdanganya, test na demu aridhike, then tangaza ndoa, ukimtetemekea mwanamke sana utakosa, tuliza ball, then piga, but appreciate her kiakili, siwezi kukueleza everything jinsi ya kutongoza kwani approaches differ with each woman, mm nikimwangalia tu hivi, her status kimaisha, elimu nk, najua naingia vipi ili mradi
nimeona ananifaa, never miss a target, but i have my GF, so huwa nafanya as extra si kufukuzia sana, ila nakumbuka one woman niltumia 2 months
bila kumla that was the longest period, na sitongozi malaya nieleweke so jifunze bana
mbake
mm sijawahi kumwabia mtu i luv you truely, excpt my GF huwa natumia uhandsome wangu na naingia kichwa kichwa hadi uani, nashtukia nimekula
kitu, i never missed a target, namba ya simu tu nikipata tayari nimekula, au sijui kwasbb na kazi na hali nzuri ya maisha but wajameni i never
missed a woman, huyu bado hajakua mwaume bado, huwezi kutangaza ndoa hewani hata mwanamke atajua unamdanganya, test na demu aridhike, then tangaza ndoa, ukimtetemekea mwanamke sana utakosa, tuliza ball, then piga, but appreciate her kiakili, siwezi kukueleza everything jinsi ya kutongoza kwani approaches differ with each woman, mm nikimwangalia tu hivi, her status kimaisha, elimu nk, najua naingia vipi ili mradi
nimeona ananifaa, never miss a target, but i have my GF, so huwa nafanya as extra si kufukuzia sana, ila nakumbuka one woman niltumia 2 months
bila kumla that was the longest period, na sitongozi malaya nieleweke so jifunze bana
Unatoa ushauri ambake? Wewe namna gani vipi? Sikutarajia kama Great Thinker angelitoa ushauri huu. Mungu akusaidiembake