I love you!!!!!!!!!!

we girls sometimes,when we say no we mean yes and vice versa!...inawezekana amekupenda kweli anataka kujua msimamo wako juu yake..jifanye hauko kingono zaidi you mean long term relationship,,,atajileta mwenyewe...
inawezekana pia wewe ni plan B wake,akikosa anayemtaka atasettle na wewe,kifupi amekuweka pending...pole!
mwendee hivyo hivyo steady,,,akikutumia messages na wewe mjibu....:teeth:

in the mean time ingependeza na wewe ukawa na plan B,:embarrassed:
 
kama anakupenda we mchunie.....atakuja tu.....
 
Wanakuwaga na mashine mbili hao,usimng'an'ganie sana msije enda room akakugeuza
 
inawezekana anakupenda sana,na ameathirika hivyo anahofia kukwambia anakuepusha tu kwa kukukatalia.
 

du!!!!!! ...........dum dum dum..................... ayaaaaaaaaaaaaaaa..........................yeeeeeeeeeeeeeeee, ebwanaeeeeeeeeeeeeee..............chap chap.......................
 

Mchunie kama wiki hivi; hupokei simu, hujibu meseji, humtembelei. Siku akikuona baada ya huo mchuno lazima akubake.

kaazi kweli kwel...

mvumilie IPO SIKU
 
Kila jambo lina wakati wake, wakati ukifika litafanyika tu. Kwa sasa usisumbue akili yako time will tel.
 
Ukiambiwa I love you tu unachanganyikiwa jamaa yangu ? Nina wasi wasi hujui kutongoza .Unatumia simu badala ya physical seducing . Hii ndio shida ya sm, zimefanya wengi kuwa madomozege.

We mtafute kaa nae private tongoza na usisahau wenzio hugusa na mtu anabadili mawazo saa hiyo hiyo.

Next time usije hapa kutuambia demu wako hakupi .Kwanza inawezekana sii wako , Na kama ni wako na hataki umwoe si uchape mwendo ? Ma GT wengine bana. Au endelea kuwa ATM tu kwa kuambiwa I LOVE U . Wizi mtupu.
 


mmmmh!wanawake nao wana kazi, kumpenda mtu mwenye mwonekano kama wako inataka moyo bro!anyway vuta subira unaweza pata anaefanana kwa sura na wewe!!!!!!!!
 
Wanakuwaga na mashine mbili hao,usimng'an'ganie sana msije enda room akakugeuza

hiyo picha kwenye avatar yako na comments unazotoa napata wasiwasi!ni kweli kabisa huyu mzee kazaa mtoto mwenye busara kama hizi zako?
 


I like this,
hio kweli tabia ya binti wengi huwa wanakuwa wap dilemma inapofika period ya kuwa na mwenza wa maisha.Just keep it on hold let see the reults.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…