Bujibuji wakati mwingine unafurahisha kweli maana nimecheka mbavu sina eti honeymoon na honey sun....sasa mbona hujaunganisha likawa neno moja honeysunhuu sasa ni mchanganyiko wa honeymoon na honey sun.
Business with leisure
Salamu zinarushwa live and exclussive kutoka Bukoba Club. Nimewamiss sana wana MMU
we nae ...ntakuchapa...sema......Waakoraa...
Hivi ule uwanja wa Gymkhana bado uko safi?, nshami nao bado wanafurika wakipitia kile kisiwa cha Musira? (Sikumbuki vizuri jina lake), nikuwa na mshikaji wangu pale wa kike ana maji ya kutosha. Loo, Bk hiyo sijui nitarudi lini tena!. Miss you beautiful ladies of Bk with big legs like elephants.
kiukwelii... kama huijui bukoba club basi hujafika bukoba
mkuu ulizia tree inn kama bado ipo halafu unipe jibu.aah!..bukoba weee...!!sitaisahau miami beach na beach fulani ipo kule bandalini nyuma ya kiwanda cha kahawa (minaki) sijui kama ndo jina lenyewe.kipindi hicho kulikuwa na pamba disco bonge ndani ya nyumba.kila wkend unauliza pamba yupo wapi.umenikumbusha mbali mkuu.j2 tunakutana rumuli kanisani sijui lile kanisa kubwa washamaliza kulijenga!