Jamani pole mwenzaNammiss mama yangu tu, i wish angekuwepo[emoji24][emoji24][emoji24]
Asante mwenza.
Asante mwenza.
Leo unamuibia nani huyo[emoji134][emoji134][emoji134]
Umesahau ujambazi nimejifunza kwako mwenza.
Haha sasa mwalimu nimeacha ujambaziUmesahau ujambazi nimejifunza kwako mwenza.
Unataka nitafute kikusaidie?Mpenzi mm nakutumia ujumbe hunijibu au umepata kakiben ten
Ukiacha na dunia inaisha ujue!
Kwani hujui kwamba dunia imeisha mwenza? Bado kukunjwa tuUkiacha na dunia inaisha ujue!
Pole sana dear!Nammiss mama yangu tu, i wish angekuwepo[emoji24][emoji24][emoji24]
Kumbe!!! Basi we kiboko maana umegoma kuacha.
Nikumiss kwa lipi[emoji57][emoji57]Nimekuja mbio nikijua umenimiss, kumbe [emoji3525][emoji3525][emoji3525]
[emoji13][emoji13][emoji13]Kumbe!!! Basi we kiboko maana umegoma kuacha.
Naipenda sana hii nyimbo
Sent using Jamii Forums mobile app
I do miss some people ila najua hata hawajali