Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Mmh sio kwa kunidogosha hukoEee naona hii zawadi unataka kunipa kwa nguvu basi usijali wewe ni Mkubwa mwenzangu
Oooooh thanks much. Nikibadilisha huyo jua tu anakuja another black beautiful natural girl, ndo avatars zanguUsibadilishe kabisa hiyo avatar dada yangu mpendwa,nilichojifunza hapa JF ni kwamba nimegundua kuwa picha za avatar zinawakilisha watu vyema kabisa kuliko ID wanazotumia!
Mambo si ndio haya sasa ,kilichokubaliwa hadharani na chumbani kimekubaliwa ,nakuja huko chumbani naomba nipokeeMmh sio kwa kunidogosha huko
Sista watu wametengeza tasfiri ya neno (mtoto) kibongo bongo,so mkuu hapo juu nazani alijimilikisha ndio maana anamwambia mwanzisha uzi asiingie anga hizo Maana HS ana mtu wake,pia muda mwingine inatumika kumaanisha msichana,mfano unakutana na mtu ansema ‘‘nimekutana na mtoto mkali",hapo anakuwa na maana ya kukutana na msichana mrembo kama wa kwenye avatar yako hapo,so mkuu alichokosea hapo alisahau kuwa wewe ni dada mtumishi(joking) haujui maneno ya mtaa.,Mmh sio kwa kunidogosha huko
Haha sasa mmama kama mimi kuitwa "mtoto" mmmhSista watu wametengeza tasfiri ya neno (mtoto) kibongo bongo,so mkuu hapo juu nazani alijimilikisha ndio maana anamwambia mwanzisha uzi asiingie anga hizo Maana HS ana mtu wake,pia muda mwingine inatumika kumaanisha msichana,mfano unakutana na mtu ansema ‘‘nimekutana na mtoto mkali",hapo anakuwa na maana ya kukutana na msichana mrembo kama wa kwenye avatar yako hapo,so mkuu alichokosea hapo alisahau kuwa wewe ni dada mtumishi(joking) haujui maneno ya mtaa.,
Haha nimezoea tu na daddy angundio hivo, teh mbona mama yako anaitwa atoto ,au umezoea kuitwa hivo na kaboom
Sema kweliUsibadilishe kabisa hiyo avatar dada yangu mpendwa,nilichojifunza hapa JF ni kwamba nimegundua kuwa picha za avatar zinawakilisha watu vyema kabisa kuliko ID wanazotumia!
ShikamoooooAiseee!!
Marahabaaa love, how are you?Shikamooooo
Sawa tu[emoji17]Ilikua zamani kabla hujazaliwa.
I'm good ma', and you?Marahabaaa love, how are you?
Am good too darling.I'm good ma', and you?
Ohooo kumbe zipo nyingi!Mbona hujaweka ile nilokuwa nimekubeba
Shemeji kwema?Am good too darling.
Shemeji kwema?