I miss you Nokia C2-00

I miss you Nokia C2-00

kidadari

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
8,647
Reaction score
9,604
Back in 2012 enzi Nokia bado imeshika hatamu.Simu yangu ya kwanza kununua kwa hela yangu 125,000 enzi za MidCom ndo wakala wa Nokia.

Simu ilikia na battan smooth and soft kwa wale wanaopenda kuchati haina kelele. Software iko fasts ukitype unachek kwenye screen maneno yanavyojitype very fast.

Camera nzuri ila sio clear kivile but ilikua bomba.

Line unatolea pembeni sio mpaka utoe betri ndo ilikua habari ya mjini kwa enzi zile.

Kwenye sauti aisee sijui Nokia walifanyaje sauti ilikua inasikika clear hakuna makelele ya kuumiza masikio. By tume ilikua ni mwendo wa kubadili beri tuu maisha yanasonga.

Sasa natumia simu za gharama but nikikumbuka ile Nokia C2-00 nakumbuka mengi sana. Haikua na mambo mengi but "FriendlySimu nimedumu nayo mpaka 2015 nikaamua kuigawa ikiwa bado bomba sana.

images (1).jpeg
images.jpeg
 
Ipo saivi Nokia 3.4 iko vizuri mno usikivu uko vizuri sana.mi ni mpenzi Sana WA simu Aina ya Nokia Toka mwaka 2003 sajawahi kumiliki simu Aina tofauti na nokia.hii Nokia 3.4 nimeinunua mwaka Jana mwezi wa 10 inakamela 3 nyuma iko vizuri na nimeipenda Sana na hata usikivu wake mzuri Sana ina GB 64.
 
Nokia dabo dabo first Nokia dual nilinunua coco beach kwa promotion 60000[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ipo saivi Nokia 3.4 iko vizuri mno usikivu uko vizuri sana.mi ni mpenzi Sana WA simu Aina ya Nokia Toka mwaka 2003 sajawahi kumiliki simu Aina tofauti na nokia.hii Nokia 3.4 nimeinunua mwaka Jana mwezi wa 10 inakamela 3 nyuma iko vizuri na nimeipenda Sana na hata usikivu wake mzuri Sana ina GB 64.

Nina 6.2 bei yake bado ni ghali kuliko 3.4 ya sasa
 
Back
Top Bottom