I & my little one …Delightful Image Of The Day

I & my little one …Delightful Image Of The Day

FirstLady1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
16,789
Reaction score
5,401
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com😱ffice😱ffice" /><o😛>
ituen-basi-collection.jpg
</o😛>

Tunawatakia siku njema mbarikiwe na bwana nguo hizo zinapatikana kibanda changu cha mama Ntilie magomeni migox2
 
:A S 8: they look mmwaaaah......!!!!! yaani wamependeza ile mbayaaaa,nimewapenda muno!
 
hilo pozi kama wanaumwa shingo halafu wanatia huruma utadhani baba mtoto amewakana ila wametoka bomba kwenye mavazi
 
ah ah ah kumbe kabebi kamekuwa hivi lol,nilishakasahau
 
FL1 umefanana na binti yako yaani photo copy duh pole zake daddy.
 
mmependeza sana ...muzee wapi sasa ama ndo mambo ya single parents
 
hilo pozi kama wanaumwa shingo halafu wanatia huruma utadhani baba mtoto amewakana ila wametoka bomba kwenye mavazi

hahaha mambo ya -camera-friendly- pozi
Usawa huu akinikana kwani nashindwa kuuza karanga na mchicha niendeshe maisha yangu?..No thank you
 
waaaooo FL1 wewe ni mrembo sana,na mwanao pia......thanks for the photos..!:A S 8:
 
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com😱ffice😱ffice" /><o😛>
ituen-basi-collection.jpg
</o😛>

Tunawatakia siku njema mbarikiwe na bwana nguo hizo zinapatikana kibanda changu cha mama Ntilie magomeni migox2

No comments you deserve be called FL1 , ur Cute mamaa and mdada as well , Duu poa saaana mmmmmmhhhhhhhhhh
 
umebarikiwa dada, umetoa photocopy na afya tele
 
Sasa mbona wewe mrembo kuliko Avatar yako....hebu rekebisha basi....mjukuu anaitwa nai vile? :becky: :becky: :becky:
 
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com😱ffice😱ffice" /><o😛>
ituen-basi-collection.jpg
</o😛>

Tunawatakia siku njema mbarikiwe na bwana nguo hizo zinapatikana kibanda changu cha mama Ntilie magomeni migox2

Kweli dad alilala usingizi kabisa fofo fofo. Photocopy yako mama hii, mnafanana kiasi kwamba akiwa kabinti mtu atafikiri ni pacha wako vile. Hongera mama kwa kukuza. Nafunga hapo kamba kwa mjukuu wangu. Jamani nimeshawahi, ila naomba abaki natural hivi hivi?!!!
 
Mmefanana kasoro baby hatumii mkorogo kama mama yake.
 
FL1 nawe, mnatupa kazi kuwaangalia na sisi tukiwa tumepinda shingo....looking mwaaaa....biashara matangazo, bei zimekaaje?
 
<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com😱ffice😱ffice" /><o😛>
ituen-basi-collection.jpg
</o😛>

tunawatakia siku njema mbarikiwe na bwana nguo hizo zinapatikana kibanda changu cha mama ntilie magomeni migox2
duh!kumbe ndo uko bomba ivo?you deserve to be first lady cause you are so cute.
 
Back
Top Bottom