I need a born again husband

awe wa dhehebu lolote la kipentekoste.
Mpendwa Nyape vigezo vyote ninavyo pia niko tayari kwa masharti yote isipokuwa hicho kigezo hapo juu. Je,unaweza kunifikiria?
 
Unaonekana pamoja na kwamba ni mcha Mungu ila element za kibabe hazijakuisha. Namaanisha unihitaji mwanaume ambaye hatakuwa na sauti katika familia mtakayoanzisha. Of which is very bad. Mimi naomba kujitoa coz hujamit vigezo vyangu pia.
 
Wanatafutwagwa kwenye Maombi and not jamii forums!

QUOTE=Nyafe;3660476]Mm ni msichana wa miaka 25,natafuta mume ambae ameokoka awe na sifa zifuatazo:
1.Ameokoka na kuzaliwa mara ya pili
2.Mwenyehofu ya Mungu,mkweli,mwnye mapenzi ya dhati
3.awe ambaye hajawahi kuishi kinyumba na mwnamke yeyote,asiwe na mtoto
4.awe na kazi inayomudu kutunza familia
5.awe tayari kutofanya mapenzi hadi ndoa.
6.awe tayari kupima afya yake kila baada ya miezi mitatu
7.mweusi wastani,kabila lolote ila asiwe mchaga,mrefu wastani si mnene si mwembamba,awe wa dhehebu lolote la kipentekoste kama upo tayari jitokeze ntakupm!

Sifa zangu,
elimu ya diploma,si mfupi wala si mrefu,mweupe kiasi,mkali kwa asili nisiependa ujinga,najiheshimu sana,mchamungu na mwnye mapenzi ya dhati[/QUOTE]
 
jamani kuna mtu amejibiwa pm? Au ni mimi tu!
 
awe wa dhehebu lolote la kipentekoste.
Mpendwa Nyape vigezo vyote ninavyo pia niko tayari kwa masharti yote isipokuwa hicho kigezo hapo juu. Je,unaweza kunifikiria?

unamanisha ww sio mpentekoste?
 
awe wa dhehebu lolote la kipentekoste.
Mpendwa Nyape vigezo vyote ninavyo pia niko tayari kwa masharti yote isipokuwa hicho kigezo hapo juu. Je,unaweza kunifikiria?

unamanisha ww sio mpentekoste?
 
sijui mwanaume gani atakubali mwanamke dorminant...unatafuta mlokole na wewe ni mkali...ili upate kumuonea vizuri,maisha hayaendi hivyo....lazima utaboreka tu...mwanaume ndio anapaswa kuwa dorminant na mwanamke submissive....
 
Nitakuandikia baadaye mpendwa/mtumishi, nawahi mahubiri hapa Victoria, Kwa kuanzia nina sifa unazohitaji naimani umefunuliwa,
 
Nina sifa zote ulizotaja,ila njia ulotumia it doesnt work with me! Ni pm anyway!
 

1. Unanisikitisha kwa vigezo ambavyo hata wewe huna kwani hujavitaja kwenye sifa zako
2. Number 1 yako, nini tofauti ya "ameokoka na kuzaliwa mara ya pili?" Sifa wewe huna sifa hii. NOTE: Sio wacha Mungu wote wameokoka.
3. Nakupa heko kwa number 4 na 5
4. Namba saba ni kichekesho kwa sababu:

a) Mweusi wa wastani, nini SI unit yako hapa?
b) Asiwe mchaga... wewe kabila gani ili upate mbaguzi mwenzako. Watu wote ni mali ya Mungu, muombe yeye sio kuwa mkabila hivyo.
c) Mrefu wastani... wastani maana yake nini ewe kondoo wa Bwana? wewe sio mrefu wala sio mfupi ukoje?
d) Asiwe mnene wala mwembamba! haya tulisoma darasa la kwanza kuwa kiongozi awashinde wote kwa urefu na ufupi, awashinde wote kwa akili na ujinga???????????????? unataka nini dada yangu? Mweleze Yesu shida zako sio wana JF
e) Wa dhehebu lolote la kipentekoste, sasa si upeleke barua ya posa kwa wakuu wa kanisa waitangaze kanisani?

USHAURI WANGU
1. Tubu kwa kuandika haya kama kweli ulikuwa unamaanisha
2. Tubu kuondoa ukabila
3. Mwombe Mungu kwa moyo uliopondeka atakupa haja ya moyo wako sio kupitia JF. Mungu ni mwaminifu atakupa wako na unaweza bahatika akawa ni member wa JF ili muendelee kuchangia kwa ushirika
 
Nitakuandikia baadaye mpendwa/mtumishi, nawahi mahubiri hapa Victoria, Kwa kuanzia nina sifa unazohitaji naimani umefunuliwa,

Bwn asifiwe!leo vcc kuna ibada eeh?msalimie pastor Huruma!
 
Reactions: Obe
Hii siyo njia ya Ki-Mungu ya kutafuta Mume. We unaongonzwa na tamaa zako za Mwili. Mwambie Mchungaji wako akushauri siyo mahali pake hapa unamwaibisha Mungu wetu.
 
Namba 6 only applicable if Namba 7 will be reversed.
That's it.
 
Sasa kama hakuna sex mpaka ndoa nitahakikishaje siuziwi mbuzi kwenye gunia???
Yaani nitajuaje Kama unayajua???
 
Hawa watu wa aina hizi ni bora muweke oda wanakoumbwa mtengenezewe wa hivi!!
 
sii umesema hamna kutiana mpaka ndoa?
Sasa hapo kwenye "no6" vp tena?ni bora mkapima mkikaribia ndoa,hiyo "no 6 futa"

njia uliyotumia kutafuta mchumba/mume wa kukuoa siyo za kibiblia hata kidogo! Sikulaumu huenda ni ukosefu wa mafundisho au wewe nit mtoto mchanga kiroho. Nipigie simu 0767006289 ili nikuong9oze kwenye njia ya mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…