I need a born again husband

I hav all the qualifications, but its better if u will provd ua contacts. I'm at Kijitonyama Dar, God bless u.
 

Ninawasiwasi kama kweli umeokoka. Naweza kukusaidia ktk hili , ukipeda tuwasiliane.
 
nyafe please mwache mungu afanye usijichoshe tafadhali ewe mwambie tu.
 
nyafe please mwache mungu afanye usijichoshe tafadhali ewe mwambie tu.

unachokisema ni kwel lkn hata Mungu alisema bisha ufunguliwe, mwache atafute sema awe makn tu asije juta baadae. Wenye sifa tupo ni pm tuongee vzri.
 
Du! cjui unaimani gani ktk dini ila MUNGU hayuko hivyo mi ni muha lakin ckubalian nawe unapowatenga wachaga,4 more pm me
 
Mke mwema hutoka kwa bwana. Unapaswa kumwomba mungu akupe wa kufanana na wewe. Huku kwenye mitandao utapata mambo ya ajabu.
 
Nenda tafuta movie inaitwa "too saved" itakusaidia ufanye maombi na kuwa na matamanio yaliyo sawa.
 
Mbona umeondoa wachaga bila kuweka kabila lako na wewe.mambo ya ukabila haya unaleta.
 
kwanza kitendo cha kuwatenga wachaga tu hufai kuwa mke bora na mlokole, pili mke au mme mwema hutoka kwa mungu na wals sio mitandaoni
 
waume hawapatikani humu. nnda kanisani, huku 2mejazana mateja ndo 2po wengi.
 

mcheki profr naye anatafuta mwenye sifa kama zako nadhan mtaendana, na sifa unazotaka baadhi anazo.
 
Vyote nimekamilika tena 100% ila kigezo namba 5 ndo kinanipa utata!
 

Wizi mtupu!!! Fisi ktk ngozi ya kondoo!
 
duh! Nyafe hata kama ex- wako ni mchaga sio vizuri kua na negative attitude kwa wachaga!
 

Walokole huwa wanaambiwa wamechanganyikiwa kwasababu ya watu kama wewe!
 


Kaongeze elimu then unitafute
OTIS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…