ujanza enzi ya shidaYou can say that again..
ameitwa kwani?Shilingi yaua ..ahahah tena maua (just singing an old song)!
Watu wanauliza terms of reference kisa jamaa katangaza dau.
Angekuja kwa gia ya kuomba kampani tu kila mtu ajilipie sijui kama hata swali angeulizwa. Dada zetu wa Bongo mbadilike, wanaume sio ATM, mjini sote watafutaji!
What exactly do you mean?kabla sijakujibu.. Ukiongea lugha taifa nitashukuru
kweli si anaitaji kukesha? kwani lazima viwanja?
Do you even qualify to be pozeo?
ameitwa kwani?
Naona unetumwa wewe tena na wachawi..kawaambie amehamia digital hapatikani analogy.. try again latter..
kwa herini bana mi ndo napiga magoti hapa kwa mtumishi niombewe
U have said it very well...Iam verrrry expensive.. much far away expensive...Ubarikiwe na Bwana YesuDo you even qualify to be pozeo?
Do you even meet the minimum requirement to be pozeo?
Are you even eligible to be pozeo?
U have said it very well...Iam verrrry expensive.. much far away expensive...Ubarikiwe na Bwana Yesu
Thank you!
Muandikage kiswahili au lugha zenu za makabila, tutawaelewa tu