I need a friend

Dinam

Senior Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
116
Reaction score
28
Ninataka rafiki wa kiume umri kati 40 na kuendelea awe mfanyakazi na mkristo
 
....mimi ni mfanyabiashara na nina miaka 60! vipi ninaweza kukufaa?
 
mmhh
bibie mbona umewalegezea hivyo??
wenyewe wakitakaga msichana/mwanamke..
mmmhh ni balaa humu ndani wataandika mpaka na rangi ya nguooo..
wakazie basi mtego kidogo ....
mmmhhh usiwaonee huruma..
 
mmhh
bibie mbona umewalegezea hivyo??
Wenyewe wakitakaga msichana/mwanamke..
Mmmhh ni balaa humu ndani wataandika mpaka na rangi ya nguooo..
Wakazie basi mtego kidogo ....
Mmmhhh usiwaonee huruma..

watu huuma panapouMika......
 
mimi nina 40 na isiwe zaidi ya 44
 
mimi nina 40 na isiwe zaidi ya 44

TAFUTA KIJANA ...ila ukiendelea na huo msimamo nina uhakika hutapata mtu wote washajichokea na mihangaiko ...au badae ndio unaweza kurudi na stori za vibamia kama wengine humu JF
 
ni kweli jf kila mtu ana mawazo yake na sihitaji mwenye mke coz mimi si mke wa mtu
 
kumbukeni kuna rafiki na mpenzi mimi nahitaji mpenzi naona mmeshaanza kunishambulia mawazo yamekwenda mbaliiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…