I NEED A NON SEX partner



khaaaa!!!! yani mpaka sasa hujawahi kufika kibo wala mawenzi?

mkuu Bujibuji hebu njoo huku ukumbushie!
 
Last edited by a moderator:
MMU full burudani. nisipoingia humu naumwaga.
 

Come with me, you will never regret. I'll make you reach the kilele and make kelele.
 
..Mimi ni mwanamke adult ,nina mvuto wa kutosha ila sijabahatika kumpata bwana wa Maana...
.....hakuna anayenifikishaga kileleni...

Ni ile hadith ya Sungura na Ndizi.."sizitaki mbichi hizi"

Anyway... Hatuna haja ya kusoma heading..Umeeleweka unatafuta rafiki wa kiume wa namna gani ..Good luck!
 

:banghead::banghead::banghead::screwy::banghead::banghead::banghead::banghead::banghead::banghead::banghead:
 
kwenye red.....ulienae mwanamke??
kwenye blue.....tatizo la nani?
 

hebu ni pm nikwambie kitu kitakacho badilisha mtazamo wako ktk mahusiano na kukufanya mwenye raha na furaha tele ktk mapenz.
 
unaposema..........au sijui nije pm....maana hizo ni nafasi....mimi mbona analogia mzuri...ntakufariji kwa ghani, tenzi na diwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…