Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kukwichi ni leo leo kwani!?Unapokuja pm si unaandika namba nakupigia tunakutana au?
kama uko below 25 njoo kwanguSisi tuliopo Tanga huku hututaki?
💉Kukwichi ni leo leo kwani!?
Tuliopo bunju km unaelekea bagamoyo vipi hutuhitaji?? 😹Nipo Rukwa natafuta Ke aliyepo Rukwa specific Mjini kwa Mahusiano. Awe na age 20+.Karibu PM
Wewe je?kama uko below 25 njoo kwangu
Hahaa 😂Tuliopo bunju km unaelekea bagamoyo vipi hutuhitaji?? 😹
Inabidi ajue,hilo ni moja ya kipimo cha kujua kama anaweza kuhudumia.Simuelewi shemegi enu.....
Nimefanyaje?Wewe je?
Usicheke hutaki shemeji weye 😹Hahaa 😂
UmriNimefanyaje?
Nataka 😂Usicheke hutaki shemeji weye 😹
Hivi kumbe Rukwa napo kuna 'mjini'?Nipo Rukwa natafuta Ke aliyepo Rukwa specific Mjini kwa Mahusiano. Awe na age 20+.Karibu PM
25 kwaniniUmri
Nilikuwa nauliza tu25 kwanini
Hee mimi ni bibi above 40 mkuu🙆♂️kama uko below 25 njoo kwangu
Nifundishe jinsi ya kuiombaHaiombwi hivyo....!🙄
Hee kwahiyo anataka distance ya kutembea tu, no nauli🤣 ubahili huoAme consider issue ya kutuma nauli na yakutolea.
Kazi yenu mapenzi nani aje huko??hapa ni kazi tuSisi tuliopo Tanga huku hututaki?