I need advice from zoom

I need advice from zoom

Nyam

Senior Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
134
Reaction score
72
Ningependa kupata ushauri kutoka Zoom,mimi npo chuo kikuu ndo naingia mwaka wa 3 nasomea Business Administration in Accounting, session ya jioni,je kama tangazo la kazi limetoka linamtaka mtu mwenye Diploma na me sina Diploma naweza kuapply nikapata?
 
Back
Top Bottom